Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Featured Image

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwanza,
Taja vyakula vi3 ambavyo ukienda hotelini umelipiwa utapenda kula (marks 1)

WAVULANA wakajaza; wali, ugali, mihogo.
WADADA wakajaza; burger, pizza, egg chop. Swali la

 

236 💬 ⬇️

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

236 💬 ⬇️

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Featured Image
236 💬 ⬇️

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.

236 💬 ⬇️

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image
Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambai: MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About