Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Featured Image
Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaji mapumziko japo ya mwezi. Sasa tafadhali chukua hivi vidonge vya usingizi vitasaidia sana.
236 💬 ⬇️

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Featured Image

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi?
JAMAA: nakuomba sana forget me.
MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.

236 💬 ⬇️

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Featured Image
Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani,
236 💬 ⬇️

Angalia uhuni wa huyu dereva

Featured Image
Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin umewagonga awa watu? Jamaa akajibu,"nilikua mwendo wa kasi sana, alafu nimejaza abiria ndani, gari likawa linakuja mbele yangu nilipokanyaga breki zikakatika, sasa ningefanya nin?"
236 💬 ⬇️

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About