Log in to access your menu with tools for managing π tasks, π₯ clients, π° finances, π learning, π personal growth, and π spirituality, all in one place!.
Welcome to AckySHINE, your go-to platform for personal growth, productivity, and well-being, offering tools tailored to organize your life, manage finances, and deepen your journey.
Updated at: 2024-05-25 16:54:13 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi daaaah wanaona wewe ni bonge la bossππππππππππππππππππππ
Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!
Updated at: 2024-05-25 18:12:54 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vikiwa vimekauka. Akaonja 1 akaona kitamu na kina chumvi! Akavila vyote. Alipomaliza akaangalia juu ya mlango akaona pameandikwa; "chumba cha UKEKETAJI WANAWAKE". Unafikiri atakuwa amekula nini?
Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani
Updated at: 2024-05-25 17:15:08 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki7, ATM card na karatasi yenye PIN ya ATM card na kijimfuko cha dhahabu" Mtangazaji akasema, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama anakusikiliza? Jamaa akajibu; hapana, ninaomba kumuombea dedication wimbo wa R.Kelly usemao "U SAVED ME" umfikie popote alipo!!
Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala
Updated at: 2024-05-25 17:01:56 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochatiβ¦
Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyuβ¦. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext:Β "Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomuπ£ lilipukeβ¦ najua hatutaonana tena, nitunzie Familia yangu, wambie nawapenda sanaβ¦"Β Yule jamaa akajirusha dirishaniβ¦β¦ππ
βkwani mi napenda ujinga xx πππππππ
Updated at: 2024-05-25 17:14:55 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. Mwezake akamuuliza mbona unalia mwenzangu. Chizi akajibu nimetia vijiko vitatu vya sukari baharini, kila nikionja bado ina chumvi. Mwenzake akacheka sanaaaaaa akamwambia. Hujakoroga!!!!ππππππ
Updated at: 2023-04-29 22:52:51 (1 year ago by Melkisedeck Leon Shine)
NIMEKAA NIKAWAZA ππΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIππ» WAAFRIKA HATUYAJUI π
KAMA TUNGEKUWA TUNAYAJUA HATA HAWA WAMAREKANI,πΊπΈWACHINAπ―π΅ NA HATA WATU WA ULAYA TUNGEKUWAπ½πͺ TUNAWAPITA KIMAENDELEO
MAMBO YENYEWE,,
HATA MIMI SIYAJUI MAANA NA MIMI NI MWAFRIKA ππππ
Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada
Updated at: 2024-05-25 16:59:17 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mdada alienda super-market kununua kuku, bahati mbaya kwenye frij kulikuwa na kuku mmoja tu, muuzaji akamtoa akamuweka kwenye mzani, akaonekana ana kilo moja na robo.
Mdada akamuuliza muuzaji,βHuna mkubwa zaidi?β Muuzaji akamchukua yule kuku na kujifanya kamrudisha kwenye friji, halafu akamtoa tena kwenye friji na kumrudisha kwenye mzani, safari hii akagandamiza mzani kwa gumba, kuku akaonekana ana kilo mbili. Mdada akasema βDuh afadhali huyu mkubwa kidogo,Β naomba unifungie nawachukua wote wawiliβ
Mamaaaaa muuzaji sijui atatoa wap kuku wa piliπ
π π π π π Hapo ndipo utagundua kwa nini MUWA co TUNDA πΆπ½πΆπ½