Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Featured Image
236 💬 ⬇️

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.
237 💬 ⬇️

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Featured Image
238 💬 ⬇️

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu GIRL: Enhee… BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako GIRL: Ooh baby u care..
238 💬 ⬇️

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

 

236 💬 ⬇️

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Featured Image
240 💬 ⬇️

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About