Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Featured Image
Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhudumu akaja, Mhudumu: kaka nikuhudumie nini, Jamaa: afathal NILETEE MENU LISTI
236 💬 ⬇️

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

236 💬 ⬇️

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

236 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Featured Image

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU atoke nje" wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.

236 💬 ⬇️

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Featured Image

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitapata mia kwa mia.
BABA: kwanini unasema hivyo?.

237 💬 ⬇️

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Featured Image
237 💬 ⬇️

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Featured Image
238 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About