Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke
By SW - Melkisedeck Shine |
March 17, 2022
Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unakuwa wazi…Sisi kwa USTAARABU huwa tunaangalia pale PALIPOFUNIKWA..Hatutaki Dhambi za Kijinga kabisa Sisi…