Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

Featured Image
1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!!! 2. Ka wafikiri Una haraka sana Shuka ukimbie. 3. Nauli kulipa lazima ,Chenji ukikumbuka.
237 💬 ⬇️

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Featured Image
237 💬 ⬇️

Hizi sifa zimezidi sasa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"
236 💬 ⬇️

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Featured Image
236 💬 ⬇️

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Featured Image
Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya walichokikuta ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa
236 💬 ⬇️

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?

237 💬 ⬇️

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Featured Image
WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa changu.
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About