Log in to access your menu with tools for managing π tasks, π₯ clients, π° finances, π learning, π personal growth, and π spirituality, all in one place!.
Welcome to AckySHINE, your go-to platform for personal growth, productivity, and well-being, offering tools tailored to organize your life, manage finances, and deepen your journey.
Updated at: 2024-05-25 17:12:24 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama PADRI: Haya JAMAA: Niliiba kamba PADRI: Kamba? JAMAA: Ndio, kamba lakini kule mwisho kulikuwa kumefungwa ng'ombe PADRI: Kwa hiyo uliiba ng'ombe? JAMAA: Kiukweli nilikuwa nina lengo la kuiba kamba, kwa bahati mbaya mwisho kulikuwa na ng'ombe PADRI: Mi naona mueleze Mungu direct, mi sikuelewi kabisaaa
Updated at: 2024-05-25 17:52:24 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumbani kwangu, mara hoo watoto wangu. Sisi ni mke na mume, kila kitu ni chetu. Jirekebishe bwana".π΄πππ MKE: Yuko kimya anaendelea na shughuli zake za kupekua kabatini kama hasikii, na hakumjibu kitu mumewe.π΅π· MUME: Akamuuliza kwa hamaki,"Sasa hapo unatafuta nini?".π΄π‘ MKE: "Sidiria yetu!!"ππ MUME: (kamfungia kabatini alafu kamwambia. "nipo chumbani , ")π΄π·π· ππππππ ππππππ
Updated at: 2024-05-25 17:04:36 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA? Cheki hii hapaβ¦β¦..
"Mabo dugu yagu mziba? Bwada nasubuliwa sada na bafua baka dashindwa kuadika beseji do hayo dugu yagu. Diobeeni dipone ππππππππ Hapana Chezea Bafua
Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti
Updated at: 2024-05-25 17:10:08 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Dogo kampigia simu baba yake; DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti? DOGO : Lakini baba BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona ntakachofanya. DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda shilingi milioni 3 BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua haraka mwanangu mpenziβ¦
Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani
Updated at: 2024-05-25 18:01:13 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile hitakua imembeba rais kichaa mwenzake akajibu hapana ile imebeba wazungu kama ingekuwa imembeba rais ungeona mapikipiki mbele
Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza
Zuzu: Mambo Anna! Anna: Poa! Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyesheβ¦ Anna: Kitu gan? Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda) Anna: Haya nionyesheβ¦
Updated at: 2024-05-25 18:07:43 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Zuzu: Mambo Anna! Anna: Poa! Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyesheβ¦ Anna: Kitu gan? Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda) Anna: Haya nionyesheβ¦
Zuzu: Funga mlango na madirisha kwanza (akafunga) Anna: Haya nionyeshe sasa!.. Zuzu: Zima taa kwanza (akazima) Anna: Mhmβ¦nionyeshe sasa! Zuzu: Haya njoo hapa kitandaniβ¦ Anna: Ok, nionyeshe! Zuzu: Ona nimenunua saa ambayo inawaka yenyewe gizaniβ¦ Acha mawazo mabaya ww???