Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Misemo 50 ya Ujasiri na Motisha ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Featured Image
0 💬 ⬇️

Misemo 50 ya Mafanikio na Ukuaji ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Featured Image
0 💬 ⬇️

Misemo 50 ya Upendo na Ukarimu ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Featured Image
0 💬 ⬇️

Misemo 50 ya Uhusiano na Marafiki ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Featured Image
0 💬 ⬇️

Mbinu 15 za kutambua Maadui zako

Featured Image
0 💬 ⬇️

Vitu (6) sita usivyotakiwa kufanya kabla ya kulala

Featured Image

1. USILALE UKIWA UMEVAA SAA.


Saa ya mkononi ina madhara iwapo
utaivaa kwa muda mrefu,
wanasayansi
wanashauri sio sahihi kulala ukiwa
umevaa saa mkononi.

 

0 💬 ⬇️

Jinsi ya kutunza heshima yako: Mbinu 15 za kulinda heshima na utu

Featured Image
0 💬 ⬇️

MBINU 15 Za jinsi ya kuwa na busara

Featured Image
0 💬 ⬇️

Jifunze kupitia mfano huu wa ufutio na penseli ✏

Featured Image

¶>PENSELI: "Nisamehe sana"

UFUUTIO: kwa nini? Mbona hujanikosea lolote?

PENSELI: Nisamehe sana unaumia kwa ajili yangu, kila ninapofanya makosa siku zote upo kwa ajili ya kuyafuta, ila kila unapofuta makosa yangu unaumia na kupoteza sehemu yako na umaendelea kupungua kadiri unavyofuta makosa yangu……. nisamehe sana ndugu!

0 💬 ⬇️

Angalia kilichomkuta huyu dada mwenye zarau, mwanae alikufa kwa zarau zake

Featured Image

Dada mmoja akiwa ofisini alipigiwa simu kuwa mwanae amepata ajali wakati anatoka shule, alikuwa ameumia sana. Kwa harakaharaka yule dada aliwasha gari na kuanza safari kuelekea hospitali ili kumuona mwanae.

Akiwa njiani katika mistari ya Zebra huku akiwa na mawazo alitaka kumgonga Kaka mmoja ambaye alikuwa akivuka barabara kwa kukimbia. Katika kumkwepa gari iligonga ukingo wa barabara na kukwaruizika kidogo.

0 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About