Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Jifunze kupitia mfano huu wa ufutio na penseli โœ

Featured Image

ยถ>PENSELI: "Nisamehe sana"

UFUUTIO: kwa nini? Mbona hujanikosea lolote?

PENSELI: Nisamehe sana unaumia kwa ajili yangu, kila ninapofanya makosa siku zote upo kwa ajili ya kuyafuta, ila kila unapofuta makosa yangu unaumia na kupoteza sehemu yako na umaendelea kupungua kadiri unavyofuta makosa yanguโ€ฆโ€ฆ. nisamehe sana ndugu!

UFUTIO: Ni kweli, ila mimi sijali sana.

"Hiyo ni kazi yangu, niliumbwa kwa ajili ya kukusaidia kila pale utakapokosea ingawa najua siku moja nitaisha na kupotea kabisa, ila nina furaha na kazi ninayoifanya".
Hivyo usijali najisikia vibaya ukiwa na huzuni maana inavyoonekana hupendi kukosea, wala hukosei kwa kukusudia ila unajikuta umekosea.

PENSELI: Nashukuru sana ufutio.

Maana yangu ni hii:

ยถ>Wazazi wetu ni kama ufutio, na sisi watoto zao ni kama penseli.

ยถ>Siku zote wazazi wetu wapo kwa ajili yetu kufuta makosa yetu na kutuelekeza njia zipaswazo kupita, na wafanyapo haya muda mwingine huumia hudharauliwa na kutengwa lakini wamesimama kidete kuhakikisha tunastawi vema.

ยถ>hakuna kitu kizuri kwa mzazi hasa waishio vijijini pindi atokapo shambani akikuta kuna chai, sasa umewahi kufikiri akikosa sukari anavyoenda kukopa kibandani ile ya kupima na wewe una katoni za sukari ndani???

ยถ>Naskia baba/mama yako ukitaka kumpigia simu unapiga kwa jirani yake ili ampelekee, na wewe una smart phone ya bei mbaya ikiwa na kifurushi cha mwezi msima cha elfu 30 umeshindwa kumtafutia hata simu ya elfu 15 halafu marafiki zako wanakuwish kwenye birthday yako at

"uishi miaka 1000 wakati hata vocha ya 1000 hujawahi kumtumia mzazi!

ยถ>Hivi unajua kwa kijijini elfu 5 ni hela ambayo hata siku 3 inafika? Halafu @ unasema siwezi kutuma 5000 ntawatuma nikichukua mshahara" saa ngapi wewee tuma hiyo hiyo!!!

ยถ>Watunze sana wazazi wako kama wapo na waheshimu na kuwapenda siku zote.

ยถ>Hakuna mahali popote Mungu alikoagiza baraka ya kuishi miaka mingi duniani isipokwa ni kwenye kuwaheshimu wazazi wako.

Mungu awape wazazi wako maisha marefu yaliyojaa heri, furaha na afya tele.

ยถ>Na kwa kufanya hivi sina maana kwamba nina hela, no! Jifunze katika kidogo kugawana na wazazi hasa ukijua maisha yao na mazingira wanayoishi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Misemo 50 ya Uhusiano na Marafiki ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Misemo 50 ya Uhusiano na Marafiki ya kubadili mtazamo wa maisha yako

1. "Marafiki ni familia tunayochagua wenyewe." - Unknown

Kuwa na busara ni muhimu katika maisha yetu ya kila siku. Hapa kuna vidokez... Read More

Angalia kilichomkuta huyu dada mwenye zarau, mwanae alikufa kwa zarau zake

Angalia kilichomkuta huyu dada mwenye zarau, mwanae alikufa kwa zarau zake

Dada mmoja akiwa ofisini alipigiwa simu kuwa mwanae amepata ajali wakati anatoka shule, alikuwa a... Read More

Misemo 50 ya Ujasiri na Motisha ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Misemo 50 ya Ujasiri na Motisha ya kubadili mtazamo wa maisha yako

1. "Jifunze kushindwa na ujifunze kusimama tena." - Unknown

Kuwa jasiri ni jambo ambalo linaweza kujifunza na kukuza kwa kujitolea. Hap... Read More

Njia 15 za kukabiliana na chuki za watu

Njia 15 za kukabiliana na chuki za watu

Kukabiliana na chuki za watu ni muhimu ili kujilinda na kuhifadhi afya yako... Read More

Mbinu 15 za kutambua Maadui zako

Mbinu 15 za kutambua Maadui zako

Kutambua maadui zako ni muhimu katika kulinda na kuhifadhi afya yako, ustaw... Read More

Misemo 50 ya Uongozi na Ubunifu ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Misemo 50 ya Uongozi na Ubunifu ya kubadili mtazamo wa maisha yako

1. "Uongozi ni kuwa mwangalizi wa nyota zinazoongoza wengine kwenye giza." ... Read More

Vitu (6) sita usivyotakiwa kufanya kabla ya kulala

Vitu (6) sita usivyotakiwa kufanya kabla ya kulala

1. USILALE UKIWA UMEVAA SAA.


Saa ya mkononi ina madhara iwapo
utaivaa kwa muda... Read More

Misemo 50 ya Mafanikio na Ukuaji ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Misemo 50 ya Mafanikio na Ukuaji ya kubadili mtazamo wa maisha yako

1. "Mafanikio ni matokeo ya kujituma na kutokuacha kamwe." - Unknown

Read More
Jinsi ya kutunza heshima yako: Mbinu 15 za kulinda heshima na utu

Jinsi ya kutunza heshima yako: Mbinu 15 za kulinda heshima na utu

Kutunza heshima yako ni muhimu katika kujenga uhusiano mzuri na kuwa na mai... Read More

Kama una miaka 24 hadi 29 huu ni ujumbe wako, Soma hii tafadhali

Kama una miaka 24 hadi 29 huu ni ujumbe wako, Soma hii tafadhali

ITAKUSAIDIA KIJANA PLEASE ISOME NA UITAFAKARI

SINTOFAHAMU MAISHANI KATI YA MIAKA 24 HADI 29... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About