Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vitu (6) sita usivyotakiwa kufanya kabla ya kulala

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

1. USILALE UKIWA UMEVAA SAA.


Saa ya mkononi ina madhara iwapo
utaivaa kwa muda mrefu,
wanasayansi
wanashauri sio sahihi kulala ukiwa
umevaa saa mkononi.

2. USILALE UMEVAA SIDIRIA

(wanawake
wanayovaa kwenye matiti ).
Wanasayansi wa America
wamegundua kuwa wanaovaa sidilia
zaidi ya masaa 12 Wako kwenye
hatari zaidi ya kupata Kansa ya
matiti.

3. USILALE NA SIMU IKIWA KARIBU.

wanasayansi wanashauri usiweke
simu pembeni kwa sababu mionzi
ya simu sio salama hasa ukiwa
umelala, ni vizuri ukaizima kama ni
lazima ukae nayo karibu.

4. USILALE UKIWA UMEWEKA MAKE

- UP
(usoni). Hii usababisha ngozi
kutopumua vizuri na kutopata
usingizi kwa haraka.
5. USILALE UMEVAA NGUO YA
NDANI - Ili kuwa huru na kulala ni
vyema ukalala bila kubanwa
na kitu chochote, nguo ya ndani
haitakiwi.
KITU CHA MWISHO NA CHA MUHIMU
KULIKO VYOTE NI ….

6. USILALE NA MKE/MUME WA MTU.

wanasayansi wanasema jambo kama
hili linapotokea na ukabainika
linaweza chukua uhai wa mtu hata
kukuacha na maumivu baada ya
kuharibiwa uso kwa makondo yasiyo
na mpangilio, ni vizuri ukawa makini
sana hapa!
Ukibisha yakikukuta shauri yako!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Angalia kilichomkuta huyu dada mwenye zarau, mwanae alikufa kwa zarau zake

Angalia kilichomkuta huyu dada mwenye zarau, mwanae alikufa kwa zarau zake

Dada mmoja akiwa ofisini alipigiwa simu kuwa mwanae amepata ajali wakati anatoka shule, alikuwa a... Read More

Jinsi ya kutunza heshima yako: Mbinu 15 za kulinda heshima na utu

Jinsi ya kutunza heshima yako: Mbinu 15 za kulinda heshima na utu

Kutunza heshima yako ni muhimu katika kujenga uhusiano mzuri na kuwa na mai... Read More

Misemo 50 ya Uongozi na Ubunifu ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Misemo 50 ya Uongozi na Ubunifu ya kubadili mtazamo wa maisha yako

1. "Uongozi ni kuwa mwangalizi wa nyota zinazoongoza wengine kwenye giza." ... Read More

Jinsi ya kuwa jasiri: Njia 9 za kukuwezesha kuwa jasiri

Jinsi ya kuwa jasiri: Njia 9 za kukuwezesha kuwa jasiri

Kuwa jasiri ni jambo ambalo linaweza kujifunza na kukuza kwa kujitolea. Hap... Read More

Jifunze kupitia mfano huu wa ufutio na penseli ✏

Jifunze kupitia mfano huu wa ufutio na penseli ✏

ΒΆ>PENSELI: "Nisamehe sana"

UFUUTIO: kwa nini? Mbona hujanikosea lolote?

PENSELI: ... Read More

Misemo 50 ya Uhusiano na Marafiki ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Misemo 50 ya Uhusiano na Marafiki ya kubadili mtazamo wa maisha yako

1. "Marafiki ni familia tunayochagua wenyewe." - Unknown

Kutambua maadui zako ni muhimu katika kulinda na kuhifadhi afya yako, ustaw... Read More

Misemo 50 ya Ujasiri na Motisha ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Misemo 50 ya Ujasiri na Motisha ya kubadili mtazamo wa maisha yako

1. "Jifunze kushindwa na ujifunze kusimama tena." - Unknown

Kuwa na busara ni muhimu katika maisha yetu ya kila siku. Hapa kuna vidokez... Read More

Kama una miaka 24 hadi 29 huu ni ujumbe wako, Soma hii tafadhali

Kama una miaka 24 hadi 29 huu ni ujumbe wako, Soma hii tafadhali

ITAKUSAIDIA KIJANA PLEASE ISOME NA UITAFAKARI

SINTOFAHAMU MAISHANI KATI YA MIAKA 24 HADI 29... Read More

Misemo 50 ya Upendo na Ukarimu ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Misemo 50 ya Upendo na Ukarimu ya kubadili mtazamo wa maisha yako

1. "Upendo ni lugha ambayo kila mtu anaweza kuelewa." - Mother Teresa

<... Read More
Misemo 50 ya Mafanikio na Ukuaji ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Misemo 50 ya Mafanikio na Ukuaji ya kubadili mtazamo wa maisha yako

1. "Mafanikio ni matokeo ya kujituma na kutokuacha kamwe." - Unknown

Read More
πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About