PRINTABLE ARTICLE LIBRARY

Article Downloads & PDFs

Find an article, open its modern reading view, then generate a styled A4 PDF. This preserves article content without nesting a second HTML document inside the reader.

πŸ“—πŸ“˜πŸ“™ACKY
SHINE
PRINTABLE RESULTS

SMS za AckySHINE: SMS Nzuri za Mapenzi na Mahaba Kwa Mpenzi Wako Β· 290

πŸ“„

SMS nzuri ya kumsihi mpenzi wako asikuchoke na asichoke kukupenda kwani unampenda sana

Thamani ya Mapenzi yako nikubwa kwangu, haifanani nachochote kwenye huu ulimwengu, sina budi kumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejali hisia zangu, USICHOKE KUNIPENDA MPENZI

Open printable article β†’
πŸ“„

SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako mnapogombana na kukorofishana

teke la kuku halimuumzi mwanaye sawa na dhati ya mapenzihaiumzi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hivi tupatanebadaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo sikuwakigombana wataachana.

Open printable article β†’
πŸ“„

Ujumbe mzuri wa kumuomba mpenzi wako asikuache

Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu muhimu, unaeng'aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. "NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANGU"

Open printable article β†’
πŸ“„

SMS tamu ya kimahaba ya kumuomba mpenzi wako asiende mbali na wewe

Mapigo yangu ya moyo huongezeka pindi nisipokuona japo kwadakika plz mpenzi kaa karibu yangu utulize mapigo

Open printable article β†’
πŸ“„

SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako aliyekuacha kumuomba akurudie

ni bora mnara ukitikisika kuliko kupata pengo lisilozibikamoyoni umeniachia jeraha lisilotibika na ufausiozibika.rudi mpenzi unautesa mtima wa moyo wangu.

Open printable article β†’
πŸ“„

Meseji ya kumsisitiza mpenzi wako muendelee kupendana

wengi walisema penzi letu lisingedumu,lakini leo twawaachamidomo wazi kwa misengenyo yao isiyo na maana ,tuendeleekupendana,wanafiki roho ziwaume!

Open printable article β†’
πŸ“„

Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa ulimpenda tangu siku ya kwanza na utazidi kumpenda

nilivyokutana nawe siku ya kwanza nilikupenda kwadhati,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyonimwako,siwezi kuchezea nafasi hiyo laaziz,nitakushikadaima.

Open printable article β†’
πŸ“„

Meseji ya kumuomba mpenzi wako akupende maishsni

kama ni usafiri wewe ni gari salama,kama ni kiwanda weweni namba moja ,kama ni maji kwako kuna chemchem,kama nimapenzi kwako nimefika,niahidi utakuwa nami siku zotemaishani mwangu.

Open printable article β†’
πŸ“„

Ujumbe wa kimahaba wa kumwambia mpenzi wako anavyokukosha na kumuomba asiende kwa mwingine

Hakika nimepata tabibu, maradhi yangu wajua kujyatibu,napenda jinsi unavyonitibu, huna papara yaani ni taratibu,mpenzi usijemuonyesha mwingine hizo zako zabibu, maswahibuyakatayonisibu hakuna atakayeweza kuyatibu, nakupenda

Open printable article β†’
πŸ“„

Ujumbe wa SMS kwa mpenzi wako anayetaka kukuacha

Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniachakuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yakohifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi,amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.

Open printable article β†’
πŸ“„

Meseji ya kumuomba mpenzi wako asikuache kwa kuwa unampenda sana

Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu,siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtumuhimu, unaeng'aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha."NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANgu

Open printable article β†’
πŸ“„

Meseji ya kumuomba mpenzi wako asikuache kwa sababu na wewe haupo tayari kumuacha

Uchungu wa kifo hauna tofauti na maumivu nitakayoyapataukiniachana, mpenzi usiniache nami siko tayari kukuacha

Open printable article β†’
πŸ“„

Meseji ya kumkaribisha mpenzi wako

Njoo pendo langu nikutembezekatika milango ya furahaNikuwakilishe mbele ya majamaa zanguNikuonjeshe asali ya pendo langu

Open printable article β†’
πŸ“„

Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako kumuomba kukutana na wewe

Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie, nimekukumbuka nahitaji kukuona unipoze moyo wangu, njooo mwandani wangu nakusubiri daktari wangu.

Open printable article β†’
πŸ“„

SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako ya kumuomba aje kwako

Mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioishahamu,nitakupa mwili wangu ucheze nao hadiasubuhi,nitakulisha unachokitaka,sitakubania kwani naogopawengine wanaweza kukupa… .njoo leo uniambie unatakanini?

Open printable article β†’