PRINTABLE ARTICLE LIBRARY

Article Downloads & PDFs

Find an article, open its modern reading view, then generate a styled A4 PDF. This preserves article content without nesting a second HTML document inside the reader.

πŸ“—πŸ“˜πŸ“™ACKY
SHINE
PRINTABLE RESULTS

1000+ Vichekesho vipya: Vichekesho vya AckySHINE Β· 452

πŸ“„

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

<p>Zuzu: Mambo Anna!<br />Anna: Poa!<br />Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…<br />Anna: Kitu gan?<br />Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda)<br />Anna: Haya nionyeshe…</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

<p>Mtoto alimwuuliza baba yake,<br />Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?<br />Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.<br />Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?<br />Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

<p>MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani nilifanya mapenzi na dada yako, mdogo wako, rafiki yako na mama yako</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

<p>BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.<br />DOGO: ndio baba nitapata mia kwa mia.<br />BABA: kwanini unasema hivyo?.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

<p>Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!<br />Kawaida kila msanii lazima ajitambulishe, mfano:-<br />''YEAH NI TEMBA hapa au</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

<p>Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU atoke nje" wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

<p>Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"<br />Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?<br />Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

<p>Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

<p>Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.<br />Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.<br />Ilikua ni bahati tu alimvizia na<br />kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.

Open printable article β†’
πŸ“„

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo zako na……..

Open printable article β†’
πŸ“„

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka nje kuongea na cm. Mtoto akamwinamia Doctor na kusema kwa sauti ya chini:- "Doctor Kwenye dozi ya dawa niandikie na

Open printable article β†’
πŸ“„

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

<p>Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu atakubariki zaidi</p><p><!--more--></p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia baba jana anamuita dada (housegir) malaika wangu, kwa hiyo nae atapaa?

Open printable article β†’
πŸ“„

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Open printable article β†’