PRINTABLE ARTICLE LIBRARY

Article Downloads & PDFs

Find an article, open its modern reading view, then generate a styled A4 PDF. This preserves article content without nesting a second HTML document inside the reader.

πŸ“—πŸ“˜πŸ“™ACKY
SHINE
PRINTABLE RESULTS

1000+ Vichekesho vipya: Vichekesho vya AckySHINE Β· 452

πŸ“„

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships Navigating the landscape of romantic relationships often involves navigating the nuances of communication, including the use of pet names. While pet names can be a sweet and affectionate way to express intimacy, it's crucial to ensure…

Open printable article β†’
πŸ“„

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

<p>Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

<p>MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"</p><p>MKE: "Mmmh! basi huyo aliebaki atakuwa MAMA MBILINGE KISIKI, maana yule mama ndo ANAJIFANYAGA MGUMU sanaaa.!!"</p><p>Β </p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

<p>Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.</p><p>Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"</p><p>Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"</p><p>Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"</p><p>Β </p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

<p>Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:</p><p>MUME - mke wangu natubu mbele yako kwamba nimezini na mama yako, dada yako, shangazi yako, mama yako mdogo na mtoto wa shangazi yako.</p><p>Β </p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

<p>Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu<br />Mme: kwel mke wang hata mimi nilikuwa nataka nikuambie hivyo hivyo</p><p>Β </p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

<p>Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:</p><p>Mkulima: Baba yako yupo?</p><p>Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.</p><p>Β </p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

<p>Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita binti mmoja anayejiuza akamsogelea yule mke wa jamaa</p><p>Β </p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

<p>Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.</p><p>Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?<br />Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.<br /><br /></p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

<p>1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"</p><p>ZUZU:"Sunguramilia."</p><p>2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa<br />Tanzania aliitwaje?"<br />ZUZU:"TANZANIATTA."</p><p>3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"</p><p>ZUZU:"MELI."</p><p>Β </p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

<p>Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake</p><p>Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa kula 3 tu yatabaki mangapi?</p><p>Akamjibu hivi:nikipewa na chai hakibaki kitu mwalimu.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

<p>Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda kumzawadia. Mpenzi akashukuru lakini alipogundua kuwa zote ni nyeusi si akaropoka.<br />MY HONEY: Sasa umeninunulia chupi zote nyeusi, sasa watu si watadhani nina chupi moja tu sibadili,</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja katika pitapita zangu nikakutana na mtoto mmoja mkali baraa yaani ni mzuri sanaaaa, moyo ukanituma nimuimbishe mtoto akakubali kwamba nitafute siku tukae tuongee vizuri akasema nimpe namba yangu ya simu.

Open printable article β†’
πŸ“„

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

<p>Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja akafanikiwa kupanda akaondoka…</p><p>Yule aliyebaki akaanza kucheka sanaa mpaka machozi yakamtoka.</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vikiwa vimekauka. Akaonja 1 akaona kitamu na kina chumvi! Akavila vyote. Alipomaliza akaangalia juu ya mlango akaona pameandikwa; "chumba cha UKEKETAJI WANAWAKE". Unafikiri atakuwa amekula nini?

Open printable article β†’