1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamiliaā¦.Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"
ZUZU:"Sunguramilia."
2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTAā¦Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."
3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGEā¦Je samaki yuko katika jamii ya nini?"
ZUZU:"MELI."
4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINIā¦.Je wa
Liverpool anaitwaje?
ZUZU:"LIVER."
5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"
ZUZU:"Hasira nyingi sana!"