PRINTABLE ARTICLE LIBRARY

Article Downloads & PDFs

Find an article, open its modern reading view, then generate a styled A4 PDF. This preserves article content without nesting a second HTML document inside the reader.

๐Ÿ“—๐Ÿ“˜๐Ÿ“™ACKY
SHINE
PRINTABLE RESULTS

Biashara - Mbinu za Ujasiriamali na Biashara Kufanya tofauti ยท 71

๐Ÿ“„

Kukosa hela sio tatizo bali ndio kigezo ya kutafuta hela

<p>Ukimonyesha mtu fursa akakwambiaย <strong>hana hela</strong>ย mwambie hiyo ndio sababu ya wewe kumonyesha fursa ili awe na hela tukumbukeย <strong>kuwa hela haitokani na hela</strong>ย <strong>hela inatokana na fursa</strong></p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

Jipe moyo kamwe usikate tamaa

<p>Nilikuwa naangalia mpira wa miguu katika uwanja wa<br />shule.<br />Nilipokaa, Nilimuuliza kijana mmoja juu ya Matokeo ya mchezo.</p><p>Kwa tabasamu, alijibu "Wako mbele yetu 3-0"!<br />Nikasema, Kweli!<br />Mbona huonekani kukata tamaa..?</p><p>"Kukata tamaa?<br />"Yule mvulana aliuliza kwa mshangaoโ€ฆ."!?</p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

Elimu ya biashara

<p>Jifunze kujikagua, jifunze kujiuliza je hapa ndipo napotakiwa kuwa? Usifurahie tu kwamba upo hapo kwa muda mrefu yamkini unaona panakufaa and you are settled lakini ukweli ni kwamba sio pako na haukutengenezwa kuwa hapo. Hata kama tai ataonekana kwenye banda la kuku lakini ukweli ni kwamba tai kaumbiwa kuwa angani tofauti na kuku aishie bandani. Jiulize hapo ulipo ni pako??</p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

Nini kinachokufanya udhani utashindwa sasa?

<p>Kwa mujibu wa Biologia, baada ya tendo la kukutana kimwili takribani mbegu milioni 200 hadi 300 hutolewa na mwanaumeโ€ฆhalafu zote huanza kupiga mbizi kuogelea kwenye njia safarini kukutana na yai la kike.</p><p>Ajabu ya kwanza ni kwamba sio zote 200 - 300 ambazo hufanikiwa kulifikia yai( nyingi huchoka na kufia njiani maana si mashindano ya mchezo mchezo).<br />Ajabu ya pili ni kwamba kati ya hizi 300 zinazofanikiwa kufikia yai, ni moja tu..moja tu itakayoshinda nakufanikiwa kupenya na kurutubisha yai, na kwa mantiki hii ILIYOSHINDA NI WEWE HAPO.</p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

BADILIKA: Anza kupiga hatua ya maendeleo sasa

<p>Ili kutoka hapo ULIPO uweze kwenda HATUA inayofuata kuna SWALI muhimu sana unahitaji kujiuliza.<br />Watu ambao huwa wanashindwa kupiga hatua katika maisha yao ni kwa sababu huwa wanajiuliza kinyume cha swali hili.<br />Swali hili ndilo wanalojiuliza watu wote waliofanikiwa:</p><p>Swali: "Hivi kwa sasa nina nini ambacho naweza kuanza kukitumia kama mtaji wa kwanza kuanza kufanya ninachotaka"?</p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

JITAMBUE: Kipi hauna kati ya pesa na muda?

<p>Watu ambao hawana pesa ila wana muda wa bwerere. Hawajui thamani ya muda. Hawa ndo wale ambao hawajui cha kufanya. Anaamka mpaka analala usiku hana specific timetable. Unaweza kumkuta anaenda dukani ukamwambia nisindikize saluni na akakubali. Yupo yupo tu. Unaweza kuta ameingia Facebook hajui hata kwa mini. Basi tu kwa sababu ana bando. Akiperuzi akaona mahali wanaongelea mpira yumo</p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

Njia nzuri ya kufanikiwa katika maisha

<p>Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtu anayejengaย <strong>GHOROFA</strong>ย na yule anayejengaย <strong>Nyumba ya KAWAIDA.</strong></p><p>Anayejengaย <strong>Ghorofa</strong>ย anatakiwa achimbe msingi Mrefu kwenda chini kabla hajaanza<br />kuinuaย <strong>Ghorofa</strong>ย yake juu. Hivyo wakati huyu mwingine anapokuwa anajenga Nyumba ya kawaida atakapokuwa tayari anakaribia hata kuezeka, unaweza kukuta yule anayejengaย <strong>Ghorofa</strong>ย bado yuko kwenye Msingi.<br />Ila siku akianza kuinuaย <strong>Ghorofa</strong>ย lake, kila mtu atashangaa urefu wa juu atakaoenda nao.</p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

Siri 39 za kuwa Milionea, Jinsi ya kupata pesa na kuwa tajiri

<p>1. Tafuta fursa kila kona.<br />2. Tumia kipaji chako.<br />3. Kuwa na nidhamu katika fedha - matumizi mazuri ya pesa, nidhamu kwa watu wanaokuzunguka, usijikweze, usibague jamii, heshimu wote waliokaribu yako nk.<br />4. Kuwa na nidhamu katika afya yako: Afya ndio mtaji sahihi katika biashara yoyote - kuwa na mazoea ya kuangalia afya yako mara kwa mara nk.</p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

Hii ndio inaitwa mbinu ya biashara

<p>Anakuja Mchina anasema anahitaji Paka๐Ÿˆ,<br />ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi<br />wanakijiji wanahaha kusaka Paka๐Ÿˆ,<br />wanawaleta mchina ananunua wote anasepa<br />nao. Anarudi tena anasema vipi, naona<br />wameadimika, sasa ntanunua kwa bei ya<br />35,000 Paka๐Ÿˆ mmoja, wanakijiji wanaenda<br />deep zaidi msituni, kamata Paka๐Ÿˆ, leta kwa<br />mchina, mchina anasepa nao.</p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

Je, Wewe unayesoma huu ujumbe una ndoto?

<p>KILA mtu duniani ana ndoto ingawa haijalishi ni ndoto gani uliyonayo.<br />Ndoto uliyonayo ina thamani kubwa kuliko fedha wala kitu chochote kile. Ndoto uliyonayo ina nguvu kubwa ya kubadilisha maisha yako na kukufikisha sehemu ambayo ulitaka ufike ama zaidi ya pale ulipotarajia kufika.</p><p>Ndoto yako inaweza kukupeleka sehemu mbalimbali duniani ukazunguka kufanya mambo yako si kwa sababu una fedha sana, bali ni kwa sababu una ndoto. Ni vyema utambue nguvu ya ndoto uliyonayo ni kubwa kuliko fedha.</p><p>ย </p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

Angalia utofauti wa mawazo ya maskini na tajiri

<p>Maskini hudhani utajiri ni chanzo cha matatizo.<br />Tajiri hudhani umaskini ni chanzo cha matatizo.</p><p>Maskini hudhani ubinafsi ni kitu kibaya. Tajiri hudhani ubinafsi ni kitu kizuri.</p><p>Maskini ana mawazo ya kupata pesa bila kufanya kazi.<br />Tajiri ana mawazo ya kupata pesa kwa kufanya kazi.</p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

Angalia jinsi maamuzi yako ya jana na ya leo yanavyoweza kukuathiri

<p>Nimeitoa kwa Comrade Markus Mpangala na kuitafsiri kwa Kiswahili (kisicho rasmi sana).<br />Mwaka 1998 "Google" walitaka kuiuza kampuni yao kwa "Yahoo" kwa dola Milioni 1 (sawa na Shilingi Bilioni 2) lakini Yahoo wakakataa. Yani Yahoo wakakataa kuinunua Google.</p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

Ushauri wangu kwa leo: Zingatia hili, hamasika, badilika

<p>Tupo kwenye dunia ambayo tulikuta watu na tutawaacha watu.<br />Vyote tulivyovikuta vilianzishwa na binadamu wengine wenye mawazo mema na wenye mawazo mabaya pia. Vitu vingi tunavyovifanya tunaendeleza tulivyovikuta ni mara chache kukuta kitu kipya ambacho hakitegemei mazingira na asili ya tulivyovikuta.</p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

Umeshawahi kufanya hili jaribio?

<p>kadri temperature inavyo ongezeka chura nae huwa ana increase temperature ya mwili wake..</p><p>pindi inapokaribia kufika boiling point yaani nyuzi 100 chura atashindwa kuongeza temperature ktk mwili wake na hapo ndipo atataka kutoka ktk maji hayo ya moto na yanayo endelea kuchemka..<br />kutokana na kutumia nguvu nyingi sana ktk kuongeza temperature ktk mwili wake,pindi anapotaka kuruka atashindwa na atakufa humo ndani ya chombo cha maji yanayochemka..</p>

Open printable article โ†’
๐Ÿ“„

Ugumu wa maisha huanzia akilini mwako

<p>Ebu fikiria Dada anayechoma mahindi maeneo ya Manzese Darajani kuanzia saa 12 jioni mpaka SAA 2 usiku, kwa siku moja anauwezo wa kuchoma mahindi .50. Kila hindi moja ananunua shambani kwa shilingi 100/- Na Anauza kwa sh.600/-</p>

Open printable article โ†’