πJinsi ya Kulima Mgagani: Kilimo bora cha Mgagani
Utangulizi Migagani, migange, mikabili au miangani ni mimea ya jenasi Cleome katika familia na oda Brassicales (kabichi). Mgagani (Cleome gynandra) au Spider plant kwa kingereza, ni mmea wa asili ya Afrika unaostawi vizuri kwa kumwagiliwa hapa afrika ya mashariki wakati wa joto. Pia huchumwa mashambβ¦
Open printable article βπJinsi ya kumlisha n'gombe anayekamuliwa atoe maziwa mengi
<p>Ngβombe wa maziwa wanahitaji virutubisho zaidi ili kuweza kuzalisha maziwa kwa wingi hasa katika kipindi cha miezi 3-4 ya mwanzo baada ya kuzaa, wakati ambao uzalishaji wa maziwa unakuwa juu.</p>
Open printable article βπJinsi vitunguu swaumu vinavyosaidia kuzuia wadudu shambani
<p>Vitungu saumu vina manufaa sana katika kukabiliana na aina mbalimbali za wadudu waharibifu na baadhi ya magonjwa kutokana na kuwa na harufu kali inayosaidia kuwafukuza wadudu kama vidukari, bungo na hata panya.</p>
Open printable article βπJinsi ya Kufuga vizuri kware Kwa Faida
Kware au Kwale au Kereng'ende ni jamii ya ndege ambao kwa sasa wanafugwa majumbani na wanaotaga mayai kama kuku ama bata na kwa wingi sana. Ndege hawa ni wadogo 280gm - 300gm, rangi ya kwale ni kahawia au kijivu na wana michirizi au madoa. Mara nyingi miguu yao ni myekundu au rangi ya manjano na kooβ¦
Open printable article βπKILIMO BORA CHA ZAO LA MBAAZI
<p>Mbaazi ni zao la chakula ambalo pia linaweza kulimwa kama zao la biashara kutokana na kuwa na soko zuri la Mbaazi.Mbaazi ina kiasi kikubwa cha protini.Mbaazi inaweza kutoa mavuno ya tani 3.5 hadi 4 kwa hekta</p>
Open printable article βπJinsi ya kulima mahindi kitaalamu kama inavyotakiwa
<p>Mahindi ni miongon mwa mazao makuu ya chakula hapa nchin Tanzania na ulimwa karibu kila mkoa. Ulimwa zaidi nyanda za juu kusini katika mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Njimbe na Katavi. Pia mikoa ya Morogoro Mwanza Dodoma Shinyanga Arusha Tanga na mikoa mingine. Kwakua ni zao la biashara hivyo karibu kila mkoa unalima zao hili.</p>
Open printable article βπSiri ya kilimo cha nyanya kwa faida
<p>NYANYA HASA KWENYE OPEN SPACE CHANGAMOTO NI NYINGI, HASA WADUDU, KAMA SASA KUNA MDUDU ANAITWA Tuta Absoluta, au waswahili wanaimuita KANITANGAZE MAANA AKIKUVAMIA SHAMBANI HAKUNA NAMNA UTAACHA KWENDA KUMSIMULIA.</p><p>Anakausha matunda, na kuyaozesha pamoja na kusababisha matunda kudhoofika. CHANGAMOTO KUBWA WASIYOIJUA WAKULIMA NI KUWA DAWA ZA KUZUIA MDUDU HUYU INABIDI ZIPIGWE KUANZIA MCHE UNAPOKUWA KATIKA KITALU.</p>
Open printable article βπMchanganuo wa Tsh 300,000/= kwa uzalishaji wa kuku wa kienyeji kwa faida
<p>Hapa tuta hitaji kuku 11 tu wakubwa wanao taga yani majike 10 na Jogoo 1 tu. Kwa kutumia kuku hao 11 baada ya miezi mitatu unaweza ukawa na kuku mia Tatu 300 au na zaidi kama unataka.</p><p>Nunua kuku wako katika chanzo cha kuaminika kuepuka magonjwa usinunue kuku sehemu za masokoni au kwenye mabanda ya njiani au kuku wanao safirishwa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine.</p>
Open printable article βπCanibalism Kwa Kuku Au Tatizo La Kudonoana
Kudonoana kwa kuku ni tatizo linalo wa sumbua wengi, ni moja ya athari ya lishe duni. Ni kisema lishe duni na maanisha chakula wanacho kula kukosa vurutubisho muhimu vya madini au kuku kutokula chakula cha kutosha.
Open printable article βπUfugaji wa nguruwe na faida zake
<p>Nguruwe ni mnyama amabaye hutumika kama chakula / mbonga na pia ni zao la biashara kwa mfugaji, mjasirimali na mfanyabiashara.</p>
Open printable article βπJinsi ya kutumia mashonanguo kama dawa ya kuzuia wadudu kwenye mimea
<p>Mashonanguo kwa kiingereza ni Blackjack au kwa kisayansi yanajulikana kama (Bidens<br />pilosa)<br />Mashona nguo yanazuia wadudukama vile Vidukari, Siafu, bungo, katapila, chenene (crickets), nyenyere, siafu na inzi weupe.</p>
Open printable article βπMambo Ya Kuzingatia Kuongeza Utagaji Wa Kuku
<p>Inafahamika kuku kutaga mayai mengi hutokana na aina ya mbegu ya kuku, ila jua kwamba hata aina ya mbegu ya kuku yenye sifa ya kutaga mayai mengi kama haitapewa matunzo mazuri Β basi sifa yake ya utagaji itapotea.</p>
Open printable article βπMatumizi ya mihogo kama dawa ya kuzuia wadudu kwenye mimea
<p>Muhogo Inazuia Minyoo na vidukari.</p><h4 id="toc2">Hatua za Kutayarisha dawa</h4><ul><li>Toa maji ya matunda kwa kuponda mizizi;</li><li>Pima k i w a n g o kimoja cha maji ya m a t u n d a sawa na maji ya kawaida (1:1).</li></ul>
Open printable article βπJinsi wigo wa mimea kwenye shamba unavyoweza kukinga mazao yako na wadudu waharibifu
<p>Wigo wa mimea ni kinga nzuri ya mazao shambani. Mimea ya wigo inaweza kutumika kama kizuizi cha wadudu kuhama hama.</p><p>Wigo hutatiza vidukari kuhama na kuingia bustanini. Kwa mfano, mimea kama tithonia ni kizuizi kwa aina nyingi sana za wadudu.</p><p>Β </p>
Open printable article βπAina kuu ya mizinga bora ya nyuki kwa ajili ya kupata asali nyingi
<p>Hii ni aina ya mizinga inayotumika sana na wengi. Gharama yake ni ndogo kiasi kulinganisha na mingine. Ni aina nzuri sana kwa mtu anaeanza ufugaji wa nyuki kwa kuwa ni wa gharama nafuu. Mfugaji wa nyuki anaweza kutengeneza mzinga Yya aina hii mwenyewe kama ana utaalamu wa useremala.</p>
Open printable article β