PRINTABLE ARTICLE LIBRARY

Article Downloads & PDFs

Find an article, open its modern reading view, then generate a styled A4 PDF. This preserves article content without nesting a second HTML document inside the reader.

πŸ“—πŸ“˜πŸ“™ACKY
SHINE
PRINTABLE RESULTS

All Articles Β· 43,576

πŸ“„

Hilarity Unleashed: 10 Jokes to Tickle Your Funny Bone

Laugh out loud with our side-splitting selection of jokes! Get ready to unleash the hilarity and tickle your funny bone like never before!

Open printable article β†’
πŸ“„

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

<blockquote><p>Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-</p></blockquote><blockquote><p>Demu: hello baby wangu leo bata wapi?</p></blockquote>

Open printable article β†’
πŸ“„

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

<p>Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambulisha<br />1. Naitwa Anna niko SUA mwaka3 nasoma agriculture<br />2. Naitwa Stella niko UDSM mwaka2 nasoma public relation</p><p>Β </p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

<p>Alifanya hivi;<br /><strong>Siku ya kwanza</strong></p><p>MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.<br />MKE: Salama tu<br />MUME: Uko wapi?<br />MKE: Jamani si niko nyumbani<br />MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender<br />MKE: Umesikia?<br />MUME: Okay haya mi natoka kazini naja</p><p>Β </p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo Jamaa: Poa baby Binti:Uko wapi? Jamaa: Niko town napata lunch Binti: Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi Jamaa: Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini? Binti: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away…

Open printable article β†’
πŸ“„

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: Kwanini unasema hivyo?

Open printable article β†’
πŸ“„

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza: Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje mbele.Mara kasimama kibabu na kwenda mbele, bibi harusi alipomuona tu yule babu akazimia.Mchungaji akauliza: tueleze pingamizi lakoKibabu kikajibu: Nimeamua kuja mbele kwasababu kule nyuma sisikii!!!.kanisa zima hoi,

Open printable article β†’
πŸ“„

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’ KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU PIGA MSAMBA😝

Open printable article β†’
πŸ“„

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.3. Ukao…

Open printable article β†’
πŸ“„

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6.. Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo… Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu …

Open printable article β†’
πŸ“„

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.1. NDOA YA MKEKAInatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjikamwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugunduahawakuwa wakipendana!2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka katimume18 mke 16.Huvunjika baada y…

Open printable article β†’
πŸ“„

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioniHivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mch…

Open printable article β†’
πŸ“„

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzur…

Open printable article β†’
πŸ“„

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

<p>Jamaa kaingia Bar;<br />Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,</p>

Open printable article β†’
πŸ“„

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

<p>NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,<br />DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu<br />NAKUA: Hakuna kitu kama hicho<br />DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo….</p>

Open printable article β†’