πWanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke
Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unakuwa waziβ¦Sisi kwa USTAARABU huwa tunaangalia pale PALIPOFUNIKWA..Hatutaki Dhambi za Kijinga kabisa Sisiβ¦ππππππ
Open printable article βπAngalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki π¦
At the bank..Teller: Hii pesa ni fakeMkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..account pia ni yangu..weka tu!!!πππππππ
Open printable article βπJamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada
Mdada alienda super-market kununuakuku, bahati mbaya kwenye frijkulikuwa na kuku mmoja tu, muuzajiakamtoa akamuweka kwenyemzani, akaonekana ana kilo moja na robo.Mdada akamuulizamuuzaji,βHuna mkubwa zaidi?β Muuzajiakamchukua yule kuku nakujifanya kamrudisha kwβ¦
Open printable article βπGoogle, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?
Google alisema : mimi nina kila kituFacebook ikasema : mimi najua watu woteWhatsapp akasema : mimi napendwa zaidi kuliko nyinyiInternet akasema : hahahaha nyinyi nyote bila mimi si kitu !umeme ukatamka : mutabadilisha topic au niwaonyesheπππππ
Open printable article βπEti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga
Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna post Lakin mkiwa mmeenda kwa mganga siwaoni kupost mitunguli na vibuyu vya mganga unakuwa je wa zee tena. ππππ
Open printable article βπKwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo
Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiβ¦
Open printable article βπKuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya
EtUmexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kixha ukaviweka mlangon ili majiran wakipita wajue una demu ndaniβ¦πππππππππππKUA SINGLE NAO NI UGONJWA EEENH.π
Open printable article βπKapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko
Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hiiβ¦β¦Samahani baby kama unavyojua nimeokoka ,nimetubu kanisani lakini nabii kaniambia niwaombe msamaha wote niliowakosea.Nimemkosea sana mkeo kwa kumwibia mumewe na nimepanga kuja kumwomba msamaha kesho ntakuja na nabβ¦
Open printable article βπHuyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake
Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi Kama Ninakufa.Mke Akamwambia Nipe Namba Yako Ya Siri Nifungue Simu Yako.Mume Akasemaππ Basi Acha Tu; Kila Nafsi Itaonja Mautiπππππππππππ
Open printable article βπKilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu
Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo simu umenunua Bei gani?Kwakuwa natoaga sadaka kidogo,na ZAKA ndo sijawahi kutoa,Nikamjibu nimenunua JANA,ELFU 50, akanipa LAKI MOJA,nikanunue mbili,yake na ya mke waβ¦
Open printable article βπHuyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada
Kama ni ubahili hapa umezidimdada Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu hospital kang'atwa na nyokaJAmaa embu mpe huyo nyoka cm niongee nae.. maisha yanakaba..ππ
Open printable article βπHaya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti
BABA MWEUSIMAMA MWEUSIna ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua mweupeβ¦..HAPO NDO WAZAZI WANAJIULIZA hv mbegu ilkua ya kinyonga auππππ
Open printable article βπHili nalo neno kwa wavulana
Hili nalo nenoDemu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unakalia kusema waooo waoooo kama king'ora cha ambulance.Shauri yako we endelea kusema waoooo waooo na atakuwa wao kweli.πππππππ
Open printable article βπSababu za kumuacha mke kama umemchoka
Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi_1. Missed calls 16? Umeua betri la simu yangu. Kwa hiyo hata mimi unaweza kuniuaβ¦ It's Over!!!_2. Hata hunieshimu. Mi naongea na wewe lakini we upo bize unavuta pumzi? It's over!_3. Nimekupigia umepβ¦
Open printable article βπKiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu
Kiingereza shidaaaaβ¦β¦!Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maharage kutoungwa vizurTcha: these beans are not well connected,,πππ
Open printable article β