Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga
By SW - Melkisedeck Shine |
March 17, 2022
Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna post Lakin mkiwa mmeenda kwa mganga siwaoni kupost mitunguli na vibuyu vya mganga unakuwa je wa zee tena. ๐๐๐๐