πJamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta
Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yakeβ¦.Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe walale tu halafu ananyata mdogo mdogo mpaka chumbani kwa binamu yake.Siku moja umeme ulikuwa umekatika ikabidi aamue kuvua nguo kabisachumbani kwakeβ¦.Akanyata taratibua akafunβ¦
Open printable article βπSimu ilivyozua utata
Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuwa na kupiga) Mtotoβ¦Mama simu ya baba imepokelewa na mwanamke. (Mama kwa hasira) Akirud atanitambua leo. (Baada ya muda kidogo baba akarud,kufika mlangon tu kapokewβ¦
Open printable article βπJamaa mpenda michepuko kapatikana
β¦Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no ngeni na kuamua kuipokea ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakin kabla hajasema shida yake anaamua kukata simu. Unashikwa na hamu ya kujua ni nani. Tamaβ¦
Open printable article βπHii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?
UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA MAVI JUU YA CHOO ALAFU UNAAMUA KURUDI ZAKO ILE UNATOKA TU UNAMUONA DEMU MZURI ULIYEMTONGOZA JANA ANAKUJA KUINGIA CHOO ULICHOTOKA WW NA KINA MZIGO WA MAVI JUU NA AMEKUONA β¦
Open printable article βπHuyu bibi kazidi sasa
Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu, Kainuka na kuanza kumkimbiza kibaka, Kibaka kuona Bibi hakati tamaa akatupa simu, Bibi kaikota na kuendelea kumkimbiza kibaka, Kibaka "Bibi kama ni simu yako si tayari umechukua", Bibi kajibu "Bado Mtama"bibi ujingβ¦
Open printable article βπOmba omba sio barabarani tuu
Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani? Girl:-ntakuja ukinitumia nauli. Hapo ndo unagundua kuwa sio kila omba omba yuko barabarani. π€π€π€π€π€π€
Open printable article βπDuh, huyu mama alichokifanya
Mke: Naelekea london, nikuletee zawadi gani?Mume: kitu gani unaweza niletea wewe?Mke: we omba Alafu utaona.Mume: Niletee msichana wa kizungu.Mke: (mke akaendaLondon na kurudi)Mume: zawadi yangu iko wapi?Mke: Subiri ndani ya miezi 9!!!! ππππππππPia Wamama hawapβ¦
Open printable article βπMcheki Chizi na daktari
Tafakari na ujumbe huuuu!!!β¦DAKTARI :- Unajisikiaje?CHIZI:-Kila siku naota nyani wanacheza mpira wa miguu.DAKTARI :- Nitakupa dawa leo hautaota tena.CHIZI:-hiyo dawa nipe kesho sababu leo wanacheza fainali. na nilibetππππ
Open printable article βπBaadhi ya misemo mikali ya leo
1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.5. Hata njiwa nae anβ¦
Open printable article βπCheki tulichokifanya jana
JANA APA HOMEJENERETA LILIWASHWAACHA TUHANGAIKE KULIKUNAπππππ
Open printable article βπPunguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu
Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagonga mlango wake takribani masaa mawili,wakati hapa anaishi peke yake, kwakuwa sipendagi ujinga nimetoka nikamwambia mwenyewe kasafiri.Nae kaondoka.
Open printable article βπCheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa
JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungamaPADRI: HayaJAMAA: Niliiba kambaPADRI: Kamba?JAMAA: Ndio, kamba lakini kule mwisho kulikuwa kumefungwa ng'ombePADRI: Kwa hiyo uliiba ng'ombe?JAMAA: Kiukweli nilikuwa nina lengo la kuiba kamba, kwa bahati mbaya mwisho kulikuwa β¦
Open printable article βπCheki huyu mtoto anachosema
sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza inaitwaje likaniambia GRANDMOTHER CRYπ π π sijui nikabadilishane na kijiko cha chumviπ€π€π€
Open printable article βπHuyu mama mkwe kazidi sasa
Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake akaanza kuonekana tofauti kama vile anajiskia vibaya. Akaenda chumbani. Baada ya muda mfupi yule mkaka akamfuata. Wakakaa sana huko kisha mkaka akarudi sebuleni kuβ¦
Open printable article βπCheki nilichomfanyia huyu dereva tax
Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongeaβ¦Naipenda sana kazi yangu nimejiajiri hakuna wa kunipangia nn cha kufanyaβ¦.nikamwambia_ ..KATA KUSHOTO ππ
Open printable article β