PRINTABLE ARTICLE LIBRARY

Article Downloads & PDFs

Find an article, open its modern reading view, then generate a styled A4 PDF. This preserves article content without nesting a second HTML document inside the reader.

πŸ“—πŸ“˜πŸ“™ACKY
SHINE
PRINTABLE RESULTS

All Articles Β· 43,576

πŸ“„

Bikira Maria: Ibada za Kimaandamano na Matukio

Bikira Maria: Ibada za Kimaandamano na Matukio Karibu ndugu yangu katika makala hii muhimu kuhusu Bikira Maria, mama wa Mungu. Kwa furaha nyingi, nataka kukuongoza katika ibada za kimaandamano na matukio yanayohusiana na mama yetu mpendwa. Kama Wakatoliki tuna…

Open printable article β†’
πŸ“„

Bikira Maria: Historia na Maendeleo ya Ibada Zake

Bikira Maria: Historia na Maendeleo ya Ibada Zake Salamu kwa wapendwa wote katika imani yetu ya Kikristo! Leo tungependa kushiriki nawe historia na maendeleo ya ibada kwa Bikira Maria, Mama wa Mungu wetu. πŸ™πŸŒΉ Bikira Maria ni mfano wa ukamilifu wa imani na unyen…

Open printable article β†’
πŸ“„

Bikira Maria na Huduma ya Huruma

Bikira Maria, Mama wa Mungu, ni mwanamke ambaye ametajwa mara nyingi katika Biblia kwa jinsi alivyokuwa na huduma ya huruma kwa watu wote. Tunajua kuwa alikuwa mjamzito na akamzaa Yesu, mwanawe pekee, ambaye alikuwa Mwokozi wa ulimwengu. Ni muhimu sana kuelewa…

Open printable article β†’
πŸ“„

Bikira Maria katika Imani ya Kikristo

Bikira Maria katika Imani ya Kikristo 🌹 Karibu kwa makala hii ambayo itakujulisha kuhusu Bikira Maria katika imani ya Kikristo. Bikira Maria, mama wa Mungu, ni mwanamke muhimu sana katika imani ya Kikristo. Kupitia imani yetu, tunaelewa kwamba Maria hakuzaa wa…

Open printable article β†’
πŸ“„

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandaliz…

Open printable article β†’
πŸ“„

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"MKE: "Mmmh! basi huyo aliebaki atakuwa MAMA MBILINGE KISIKI, maana yule mama ndo ANAJIFANYAGA MGUMU sanaaa.!!"Je, huyu mama angekuwa mkeo ungekuwa na swali lingine la ku…

Open printable article β†’
πŸ“„

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi…

Open printable article β†’
πŸ“„

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:MUME - mke wangu natubu mbele yako kwamba nimezini na mama yako, dada yako, shangazi yako, mama yako mdogo na mtoto wa shangazi yako.MKE - nayafahamu yote hayo ndio maana nimekupa sumu.

Open printable article β†’
πŸ“„

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tuMme: kwel mke wang hata mimi nilikuwa nataka nikuambie hivyo hivyoMke: sasa stail ya leo wewe utaosha vyombo mimo nitaangalia tvMme: huna haya wala hujui baya…!!!we unadhani ni xtail gan…

Open printable article β†’
πŸ“„

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:Mkulima: Baba yako yupo?Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda…

Open printable article β†’
πŸ“„

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita binti mmoja anayejiuza akamsogelea yule mke wa jamaaakamnong'oneza:- "AKULIPE KABISA KABLA HUJALALA NAYE, NI MGUMU KULIPA HUYOO!!.HALAFU HUWA HATUMII KONDOMU…"Unajua …

Open printable article β†’
πŸ“„

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.Masai: kw…

Open printable article β†’
πŸ“„

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"ZUZU:"Sunguramilia."2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza waTanzania aliitwaje?"ZUZU:"TANZANIATTA."3. Ti…

Open printable article β†’
πŸ“„

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wakeHivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa kula 3 tu yatabaki mangapi?Akamjibu hivi:nikipewa na chai hakibaki kitu mwalimu.

Open printable article β†’
πŸ“„

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda kumzawadia. Mpenzi akashukuru lakini alipogundua kuwa zote ni nyeusi si akaropoka.MY HONEY: Sasa umeninunulia chupi zote nyeusi, sasa watu si watadhani nina chupi …

Open printable article β†’