PRINTABLE ARTICLE LIBRARY

Article Downloads & PDFs

Find an article, open its modern reading view, then generate a styled A4 PDF. This preserves article content without nesting a second HTML document inside the reader.

πŸ“—πŸ“˜πŸ“™ACKY
SHINE
PRINTABLE RESULTS

All Articles Β· 43,576

πŸ“„

Biblia inatuambia nini kuhusu pombe?

Angalizo; Tunapoongelea kuhusu pombe sio kwamba tunahamasisha kutumia pombe bali tuelewe kile tunachofanya kwa mapenzi ya Mungu! pombe haikukataliwa ila itumike kwa kiasi. Mhubiri 9:7 Wewe enenda zako, ule chakula chako kwa furaha, unywe mvinyo yako kwa moyo w…

Open printable article β†’
πŸ“„

Uzinzi na Uasherati ndio mtego wa kizazi hiki

Uzinzi na uasherati wakati huu umekuwa ndio sumaku kuu ya kuwanasa watu ili waende jehanamu.Sumaki hii imewanasa hata ambao hawakutegemewa wala kutarajiwa.Uzinzi uzinzi uzinzi umekuwa kama perfume ya kujipulizia kila Mara mtu akipenda.Uasherati umekuwa kama he…

Open printable article β†’
πŸ“„

MAFUNDISHO MUHIMU KUHUSU MWILI NA DAMU YA YESU KRISTU | BIBLIA INAVYOELEZA KUHUSU EKARISTI

Yafuatayo ni maswali yatakayotuongoza kwenye mada yetu Yesu alituambia nini kuhusu Mwili wake na damu yake? Yesu alituambia hivi β€œBaba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa. 50Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni, ambao mtu ye yote akiula, hatakufa. 51M…

Open printable article β†’
πŸ“„

Kila kitu ni mali ya Mungu isipokua hiki

Kila kitu ni mali ya Mungu.Kuwa na Mungu ni kuwa na kila kitu.Hata mimi mwenyewe ni mali ya Mungu.Kitu kimoja tu nina hakika nacho kwamba ni mali yangu binafsi nacho ni dhambi zanguπŸ˜›.Ee Mungu naomba niziungame niweze kubaki mali yako bila kuwa na kitu binafsi.

Open printable article β†’
πŸ“„

Uelewa wa namba katika Biblia

Biblia imeandikwa na Mungu kupitia waandishi wanadamu kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Hivyo Biblia ni Neno la Mungu. Hivyo mwandishi wa Biblia ni Mungu kupitia wanadamu (God is the primary author of the Bible while human authors are secondary authors). Mungu ali…

Open printable article β†’
πŸ“„

Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

NDOA sio kichaka cha kujificha kukimbia matatizo. NDOA sio mahali pa kutolea mkosi. Wala sio mahali pa kupunguzia shida. Ndoa sio mbadala wa elimu na michakato ya kimaisha. Huolewi ili kupunguza adha za maisha. NDOA ni jukumu zito kuliko hata kusoma masters de…

Open printable article β†’
πŸ“„

Mbinu 4 anazotumia Shetani kuteka na kurubuni Watu

1. Kutushawishi tuache kusali maaana njia kuu ya mawasiliano kati yetu na MUNGU.Hivyo akifanikiwa hapo kwisha habari yako 2. Kufanya umwogope shetani na nguvu zake kuliko unavyompenda MUNGU. Wakristo wengi leo hii husali na kuomba kwa nguvu mno siyo sababu wan…

Open printable article β†’
πŸ“„

Soma stori hii, unaweza ukajifunza kitu

Kijana mmoja alisafiri kwa meli na rafiki zake,wakiwa katikati ya safari yao meli ilianzakuzama. Watu wengi pamoja na rafiki wa yulekijana walikufa maji wakati wanajaribu kujiokoakwa kuogelea, lakini yule kijana alifanikiwakushika ubao ulioelea majini akaanza …

Open printable article β†’
πŸ“„

Ufalme wa simu wa sasa

➑ Asubuhi saa 12 : 00 mtu anaamka, kabla hata HAJAMUSHUKURU MUNGU, kabla hata hajatoka kitandani, kabla hata hajajifunua shuka,πŸ‘‰ATARIPOTI KWA SIMU KWANZA KABLA YA KURIPOTI KWA YEYOTE, NDIO HAPO UNAONA MTU AKIAMKA KABLA HATA HAJASALI KWA MUNGU ANAAMKIA SIMU KWA…

Open printable article β†’
πŸ“„

Usipite bila kusoma kisa hiki cha kusisimua

Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa iliyoambatana na radi ikaanza kunyesha. Dereva hakuogopa, wala abiria…

Open printable article β†’
πŸ“„

Hadithi: Mkasa wa kusisimua, Jifunze kitu hapa

Watu wawiliπŸ‘¬ walikuwa wanakunywa pombe🍺🍻 baa. Wakati wanakunywa wakaanza kubishanaπŸ™…πŸΎβ€β™‚ na baadaye ule ubishi ukawa ugomvi.Mmoja akamrukia mwenzake akaanza kumpiga. Baada ya kumpiga kwa muda mrefu akagundua kuwa mwenzake hapumui tena.Kumbe amemwua mwenzie.😰Ndip…

Open printable article β†’
πŸ“„

Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba

Nabii mmoja aliumwana Jino, lilimtesa sana…Akapiga magoti kumliliaMungu ili amponye..Mungu akamuonesha mtiflani ili majani yakeYapate kumtibu..Akaenda kwenye mti ule,Akachukua majani yakeakatumia na kweliakapona…Baada ya Muda MrefuKupita, nabii yule aliumwana …

Open printable article β†’
πŸ“„

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

KWANINI TAREHE ZA PASAKA HUBADILIKA KILA MWAKA ??JIBU:KALENDA za mwanzo ziliutumia mwezi waangani kama kipimo cha muda. Ziliitwa β€œLunarcalender” au Kalenda-Mwezi. Tarehe 1 yaMwezi ilikuwa ni siku ulipoandama yaaniMwezi-Mdogo (Crescent Moon).Mwezi unapofika sik…

Open printable article β†’
πŸ“„

Siri ya kamba nyekundu

Miaka zaidi ya 3000 iliyopita katika mji wa Yeriko alikuwepo mwanamke mmoja kahaba, jina lake Rahabu. Huyu mwanamke aliwaokoa wapelelezi wa Israel waliotumwa kwenda kufanya uchunguzi ktk nchi yao.Wakati wana wa Israel wanatoka Misri kuelekea nchi ya Kaanani, M…

Open printable article β†’
πŸ“„

Mambo 7 ya kubadili katika maisha ili ubadilike

1. Huwezi kubadili namna watu walivyokutendea mpaka ubadili namna unavyowatendea.​Matayo 7:12;"Basi yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo Torati na Manabii."​2. Huwezi kubadili tabia mpaka ubadili marafiki.​1Wakorintho…

Open printable article β†’