Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Je, ni matatizo yapi yanayotokana na ujauzito katika umri mkubwa?

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kwa wanawake wenye miaka zaidi ya 35 uwezekano wa kupata matatizo ya kiafya wakati wa ujauzito au wakati wa kujifungua ni mkubwa zaidi kuliko wanawake kati ya miaka 20 na 35.
Matatizo ni mengi zaidi kama mama ameshakuwa na watoto wengi. Baada ya kuzaa mimba tano au zaidi, misuli ya mfuko wa uzazi hulegea. Hivyo hufanya mama kutokwa na damu nyingi, kuwa na uchungu wa muda mrefu na kuchanika kwa mji wa mimba. Matatizo mengine ni mtoto kukaa vibaya tumboni na kuwa na watoto wakubwa. Wanawake wa umri mkubwa ambao wamekuwa na i idadi kubwa ya mimba za karibukaribu (za kufululiza) wanakabiliwa na uwezekano mkubwa wa kufariki wakati wa ujauzito na wakati wa kujifungua.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 0

Please log in or register to comment or reply.
No comments yet. Be the first to share your thoughts! πŸ“

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About