Uwezekano wa kuambukizwa virusi vya UKIMWI kwa kunyonyana ndimi ni mdogo sana. Kwa kubadilishana mate wakati wa kubusiana tu, haiwezekani maambukizi ya virusi vya UKIMWI kutokea. Lakini kama mmoja kati ya wapenzi ana vidonda / michubuko mdomoni, uwezekano wa kuambukizana huongezeka.

Kunyonyana ulimi kunaweza kuchangia kupata virusi vya UKIMWI?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts

Kwa nini Albino wengi hawataki kuoa/kuolewa au kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi?
Watu ambao wanaonekana tofauti na wengine (ama kwa misingi
ya kabila, rangi, dini, kimo au h...
Read More

Njia ya kutambua kama umeambukizwa Virusi vya UKIMWI (VVU)?
Njia pekee ya kujitambua kama umepata maambukizo ya
VVU ni kufanya kipimo cha damu (HIV-test...
Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili mipango ya uzazi na ngono/kufanya mapenzi?
-
Kujadili mipango ya uzazi na ngono/kufanya mapenzi kuna umuhimu mkubwa sana katika kuha... Read More

Je, inawezekana kuwa ni hatari kutumia Valium au Klorokwini au dawa nyingine ambazo zinapatikana katika maduka ya dawa?
Ndiyo! Dawa yoyote i itakayotumiwa pasipo mahitaji sahihi au kwa kipimo zaidi ya kinachopendekezw... Read More

Je, nini imani ya watu katika kujifunza kutoka kwa mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?
Karibu kwenye nakala hii ambayo tunaangazia imani ya watu katika kujifunza kutoka kwa mwenza wako... Read More

Je, watu wanapendelea kujaribu michezo wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Habari zenu wapenzi wa blog hii! Leo tutaangazia swali moja la kuvutia sana ambalo huenda linawas... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mawasiliano Mzuri na Msichana
Leo tutazungumzia jinsi ya kuwa na mawasiliano mzuri na msichana. Kwa sababu ya tofauti za kijins... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano?
Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya afya ya uzazi katika uhusiano? Jibu ni ndio, kwa kweli! M... Read More

Je, Ni Vipi Kujilinda na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende?
Je, Ni Vipi Kujilinda na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende? π
Karibu, vijana wapendwa!... Read More

Je, ni kweli kuwa madhara ya uvutaji moshi wa sigara yako ni kidogo kuliko yale yatokananyo na kuvuta moshi kutoka kwa mvutaji?
Uvutaji wa aina zote una madhara. Kama utavuta sigara na
kuvuta moshi kwa kutumia mdomo hadi...
Read More

Jinsi ya Kuwa na Muda Mzuri na Msichana Bila Kutumia Fedha Nyingi
Kutumia fedha nyingi kupata muda mzuri na msichana siyo lazima. Kuna njia nyingi za kuwa na muda ... Read More

Je, kuna madhara gani ya kunywa pombe kwa vijana hasa kijana Albino?
Athari za pombe kwa mtu anayeishi na ualbino ni sawa na zile
zinazowapata watu wengine.
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!