Kwa nini watu hutaka kufanya mapenzi baada ya kutumia dawa za kulevya?

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… 2022-04-17 04:00:25πŸ’¬ 0 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Dawa za kulevya huathiri ubongo jinsi unavyofanya kazi. Hubadili hisia na husaidia kuondoa aibu na vizuizi vingine. Mtu hujisikia jasiri na mwenye nguvu na hivyo ni rahisi zaidi kwake kushawishika kufanya ngono kuliko asipozitumia dawa hizo.

πŸ’¬

Discussion

Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.

0 comment(s)
πŸ” Login required to comment or reply

You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.

Log in to participate
No comments yet.