Punyeto ni kupapasa au kusugua kiungo cha uzazi ili uweze kupata
starehe. Hakuna kosa kwa tendo hilo, kwa sababu hakuna tatizo
lolote kwa mvulana au msichana. Kwa kawaida watu hufanya hivyo
kwa siri, baadhi ya mila na desturi wanapinga kufanyika kwa
tendo hili hata hivyo hakuna sheria yoyote kuhusu punyeto.
Sheria kuhusu kufanya punyeto





Discussion
Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.
You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.
Log in to participate