Je, nini kitatokea iwapo mwanamke atatumia dawa za kulevya wakati wa ujauzito?

✍️ SW - Melkisedeck ShineπŸ“… 2022-04-17 04:01:46πŸ’¬ 0 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Kama mama mjamzito atatumia dawa za kulevya basi humuathiri mtoto moja kwa moja. Mtoto aliye tumboni hulishwa kupitia damu ya mama yake. Kwa hiyo mama mjamzito anapotumia dawa hizo za kulevya, dawa huingia mwilini mwa mtoto anayekua. Matumizi ya dawa za kulevya pia huongeza uwezekano wa mimba kuharibika.

πŸ’¬

Discussion

Comments are public to read. Sign in to participate in the discussion.

0 comment(s)
πŸ” Login required to comment or reply

You can read the discussion, but only logged-in AckySHINE users can post comments or replies.

Log in to participate
No comments yet.