Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_316aed1db4726e1031c560c807de2d71, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 3

Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_b4f0a88e2576fb9e932c77b8b23b50fc, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 20

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 20

Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36

Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_21e8d08cce56246be182c68471d76857, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_b829653613901b2da7d6bac98c8dcd72, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/top_menu.php on line 11

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/top_menu.php on line 11
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_1cc95bafc9645cbefd9f0259dfdf420c, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/display_user.php on line 4

Kwa nini Albino hawapewi kazi kwa mtazamo kwamba hawawezi kazi?

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Watu wengi katika jamii hawana uelewa unaotosheleza kuhusu
ulemavu wa ngozi na ulemavu wa macho wa Albino.
Hii ndiyo sababu mara nyingi jamii inawatenga ikiamini kuwa
inawalinda ili wasipatwe na madhara ya ziada. Wanaweza
vilevile kuwatenga hata kwa kuwazuia kufanya kazi ambazo
wanazimudu bila sababu za msingi au bila kusikiliza maoni yao.
Watu wanapaswa kuzingatia mapungufu walio nayo Albino na
kuwapa kazi kwa kuzingatia uwezo walionao. Kwa mfano kufanya
kazi katika jua kwa muda mrefu ni jambo lisilofaa au kumtaka
Albino asome kwa muda mrefu inaweza kumshinda. Ni muhimu
pia kwa mtu anayeishi na ualbino kujielewa, kujitambua na

kukubaliana na hali hii kwa kuchagua kazi ambazo zitaendana
na mapungufu hayo au kukabiliana na hali yenyewe.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_c76876f33f4af3f07700118cb7167773, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, Ni Lazima Kuwa na Ngono ili Kuwa na Mahusiano ya Karibu?

Je, Ni Lazima Kuwa na Ngono ili Kuwa na Mahusiano ya Karibu?

Je, Ni Lazima Kuwa na Ngono ili Kuwa na Mahusiano ya Karibu? πŸ€”

Karibu vijana! Leo tutaz... Read More

Je, kuna tofauti za kiutamaduni katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kiutamaduni katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kiutamaduni katika ngono/kufanya mapenzi? Swali hili linaweza kusababisha maj... Read More

Je, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu?

Je, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu?

Ndiyo, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea, hata ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu. Mwenye magonjw... Read More

Ni siku gani katika mzunguko wa hedhi yai linapoweza kurutubishwa? Siku za hatari

Ni siku gani katika mzunguko wa hedhi yai linapoweza kurutubishwa? Siku za hatari

Yai mmoja hupevuka siku 14 kabla ya hedhi i i inayofuata. Baada ya yai kukomaa ndani ya kokwa la upa... Read More
Jinsi ya kujikinga na ubakaji

Jinsi ya kujikinga na ubakaji

Hata kama utafanya kila kitu usibakwe bado inaweza ikatokea. Ubakaji na unyanyasaji wa ujinsia unawe... Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri kuhusu Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri kuhusu Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri kuhusu Ngono? 😊

Karibu kwenye makala h... Read More

Jinsi ya Kukabiliana na Hali ya Kujihisi Kukataliwa kuhusu Ngono

Jinsi ya Kukabiliana na Hali ya Kujihisi Kukataliwa kuhusu Ngono

Jinsi ya Kukabiliana na Hali ya Kujihisi Kukataliwa kuhusu Ngono 🌟

Karibu kwenye makala... Read More

Jinsi ya kumfanya mpenzi au rafiki yako asiwe na mwingine

Jinsi ya kumfanya mpenzi au rafiki yako asiwe na mwingine

Jambo la muhimu ni kuwasiliana kwa karibu i ili kuelewa mawazo na matatizo ya rafiki yako. Hakiki... Read More

Ugumba wa mwanamke unasababishwa na nini?

Ugumba wa mwanamke unasababishwa na nini?

Ugumba wa mwanamke ni hali ya mwanamke kushindwa kupata mimba. Kama kwa wanaume kuna mambo mengi ... Read More

Madhara ya dawa za kulevya yanadumu kwa muda gani?

Madhara ya dawa za kulevya yanadumu kwa muda gani?

Ni vigumu sana kujibu swali hili kwa sababu muda wa madhara hutegemea sababu mbalimbali kama vile... Read More

Je, kwa nini unasema kwamba wasichana vijana hawapo tayari kubeba mimba?

Je, kwa nini unasema kwamba wasichana vijana hawapo tayari kubeba mimba?

Ni kweli kwamba kupata hedhi ni dalili ya mwili wa msichana kuwa tayari kwa kubeba mimba, lakini ... Read More

Je, kuna vipimo ambavyo vinaweza kugundua hali ya kuwepo kwa ualbino wakati kichanga kikiwa bado tumboni?

Je, kuna vipimo ambavyo vinaweza kugundua hali ya kuwepo kwa ualbino wakati kichanga kikiwa bado tumboni?

Hakuna kipimo rahisi cha kuwezesha kuonyesha kama mama
mjamzito amebeba kinasaba cha ualbino... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles

Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_2e2a8ce999a9071c7914722621d86668, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/bottom_menu.php on line 3
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About