Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_c4db4a7187bdabeae3283a75a7693d1b, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 3

Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_529a585233b90a9fc9b8bb4a75c7d232, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 20

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 20

Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36

Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_7146d890aab62bb32a2a27597f79349a, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_dcc951607d628dea34eaaeccc0dcb917, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/top_menu.php on line 11

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/top_menu.php on line 11
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_71bdbeb740938173dad8e0090b115143, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/display_user.php on line 4

Faida 10 za kula tende kiafya

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kila wakati unashauriwa na watalam wa afya ya kwamba unatakiwa kula tende kwa wingi ili kupata faida zifuatazo katika mwili wako:

1. Huongeza nguvu kutokana na kuwa na sukari ya asili, unaweza kuchanganya na maziwa na kupata mchanganyiko bora!

2. Huzuia meno kuoza, na ni tiba nzuri kwa wagonjwa wa anemia kutokana na kuwa na madini mengi ya chuma.

3. Hupunguza uwezekano wa kupata Kiharusi (stroke) kwani hazina cholesterol kabisa! Pia zina vitamini na madini kwa wingi.

4. Huongeza uwezo wa Kujamiiana kutokana na kuwa na kiwango kikubwa cha nguvu

5. Hupunguza madhara ya pombe mwilini na kurudisha afya ya mtu.

6. Zina kiasi kikubwa cha kamba kamba ambazo hufanya mtu apate choo kirahisi na laini.

7. Licha ya kuwa tamu, tende haziongezi kiwango cha sukari mwilini, hivyo zinaweza kutumika kama mbadala wa sukari

8. Huimarisha Mifupa na kuondoa maumivu ya mara kwa mara ya mifupa kutokana na kuwa na madini ya chuma na potassium kwa wingi.

9. Tende ina msaada mkubwa kwa mama mjamzito, humuongeza nguvu, na hazina madhara kiafya kwa mtoto. Pia husaidia kupata uzazi salama

10. Ulaji wa tende kwa wingi husaidia kuongeza mwili kwa wale waliokonda kupita kiasi. Hivyo hushauriwi kula tende kupita kiasi kama huhitaji kuongeza mwili.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_e39de836bf5e015d99e1022f3b29cadf, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya kutibu chunusi kwa Siki ya tufaa

Jinsi ya kutibu chunusi kwa Siki ya tufaa

Siki ya tufaa (Apple cider vinegar) ni moja kati ya dawa zinazojulikana katika kutibu chunusi ahs... Read More

Madhara ya kunywa maji baridi na faida za kunywa maji moto na asali

Madhara ya kunywa maji baridi na faida za kunywa maji moto na asali

UNYWAJI wa maji baridi, hasa katika joto kali kama la Dar es Salaam, ni kiburudisho kikubwa cha k... Read More

Jinsi ya kutibu chunusi kwa Chumvi na mafuta ya zeituni

Jinsi ya kutibu chunusi kwa Chumvi na mafuta ya zeituni

Mchanganyiko wa chumvi na mafuta ya zeituni (olive oil) ni dawa nyingine inayotibu chunusi. Mafut... Read More

Jinsi msongo wa mawazo unavyoweza kukusababishia ugonjwa wa moyo

Jinsi msongo wa mawazo unavyoweza kukusababishia ugonjwa wa moyo

Kila mmoja wetu anaweza kuwa na sababu tofauti inayoweza kumsababishia msongo (stress). Sababu ku... Read More

Jinsi ya kutibu chunusi kwa mdalasini na asali

Jinsi ya kutibu chunusi kwa mdalasini na asali

Mchanganyiko wa mdalasini na asali ni dawa nzuri ya kutibu chunusi.

Changanya asali viji... Read More

Madhara ya kisukari kwa nguvu za kiume

Madhara ya kisukari kwa nguvu za kiume

Kulingana na baadhi ya chunguzi zilizofanywa na wanasayansi asilimia 60 – 70 ya wanaume hupotez... Read More

Namna ya kutibu chunusi kwa kutumia Binzari, maziwa na asali

Namna ya kutibu chunusi kwa kutumia Binzari, maziwa na asali

Unahitaji vitu vifuatavyo:

a)Binzari ya unga
b)Maziwa fresh
c)Asali
d)Baku... Read More

Faida 10 za kulala mapema kiafya

Faida 10 za kulala mapema kiafya

Mapera ni matunda yanayo patikana kwa wingi lakini mara nyingi huwa hayapendelewi sana kutokana n... Read More

Jinsi ya kufanya ili upate mtoto wa kike au wa kiume

Jinsi ya kufanya ili upate mtoto wa kike au wa kiume

Katika urutubishaji yai la mwanamke linabeba chromosome X yani XX. Na mbegu ya mwanaume inabeba c... Read More

Matumizi ya Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu

Matumizi ya Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu

Unaweza kutumia Lozi na maziwa kutibu shinikizo la chini la damu kama ifuatavyo;

  1. Lowek... Read More
Sababu za Magonjwa ya Figo na jinsi ya kujikinga

Sababu za Magonjwa ya Figo na jinsi ya kujikinga

JINSI YA KUONDOKANA NA JANGA HATARI LA UGONJWA WA FIGO:*
*1.Usichelewe kwenda HAJA.* Kutunza... Read More

Jinsi ya kufanya kupunguza mwili kwa kupanga ulaji wa chakula

Jinsi ya kufanya kupunguza mwili kwa kupanga ulaji wa chakula

Ulaji wa vyakula vingi vya wanga na mafuta ni chanzo kikubwa cha unene na uzito kuongezeka. Vyaku... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles

Warning: session_start(): open(/home/ackyshine/tmp//sess_cd11ec670fbb893646d9f9970862d6fa, O_RDWR) failed: Disk quota exceeded (122) in /home/ackyshine/mobile/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /home/ackyshine/tmp/) in /home/ackyshine/mobile/bottom_menu.php on line 3
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About