Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Featured Image

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

β€œEe Yesu tupe moyo wako kama amana ya upendo wako na kimbilio letu, ili tupate pumziko salama wakati wa maisha yetu na faraja tamu saa ya kufa kwetu”.
Baba Yetu ……..
Salamu Maria ……. (mara tatu)
Nasadiki ………..

Kwenye chembe kubwa Sali (Badala ya β€˜Baba Yetu’):

β€œNinakuabudu, ninakutukuza na ninakupenda, Ee Moyo wa Yesu wangu mpenzi, uliopenywa na huzuni nyingi kwa ajili ya dhambi, ambazo zimekuwa zikitendwa hata leo, dhidi ya Sakramenti Takatifu sana ya Altare. Ninakutolea hapo kwa kuridhika, moyo wa Mama yako mpendevu, na mastahili ya watakatifu. Amina”.

Kwenye chembe ndogo sali (Badala ya β€˜Salamu Maria’):

β€œEe Moyo Mtakatifu wa Yesu, uwakao mapendo kwetu, washa nyoyo zetu kwa mapendo yako"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary (Guest) on July 21, 2024

Good

Lucy Mahiga (Guest) on July 14, 2024

Sifa kwa Bwana!

Andrew Mchome (Guest) on July 10, 2024

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Mary (Guest) on June 30, 2024

We thank you for the updates in these prayers

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on July 11, 2024

Thank you.

You are always Welcome

Mary (Guest) on July 21, 2024

Okay

Janet Mbithe (Guest) on April 29, 2024

Nakuombea πŸ™

Janet Wambura (Guest) on March 28, 2024

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Josephine Nduta (Guest) on January 11, 2024

Neema na amani iwe nawe.

Alice Wanjiru (Guest) on November 18, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Stephen Mushi (Guest) on October 29, 2023

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Victor Mwalimu (Guest) on August 31, 2023

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Catherine Naliaka (Guest) on April 6, 2023

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Nora Kidata (Guest) on February 10, 2023

Mungu akubariki!

Betty Cheruiyot (Guest) on February 7, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Alice Wanjiru (Guest) on January 15, 2023

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Kenneth Murithi (Guest) on January 14, 2023

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Rose Mwinuka (Guest) on December 2, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Elizabeth Malima (Guest) on September 21, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Samson Mahiga (Guest) on June 22, 2022

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Joyce Aoko (Guest) on June 14, 2022

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Ruth Wanjiku (Guest) on May 23, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

David Nyerere (Guest) on May 14, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Ruth Kibona (Guest) on May 6, 2022

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Elijah Mutua (Guest) on March 22, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 30, 2022

Endelea kuwa na imani!

Charles Mchome (Guest) on December 17, 2021

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Grace Mushi (Guest) on December 9, 2021

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Rose Amukowa (Guest) on October 15, 2021

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Robert Okello (Guest) on July 6, 2021

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Agnes Sumaye (Guest) on June 18, 2021

Rehema zake hudumu milele

Irene Makena (Guest) on June 14, 2021

Mwamini katika mpango wake.

David Chacha (Guest) on May 22, 2021

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Monica Nyalandu (Guest) on May 8, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Mary Kendi (Guest) on May 6, 2021

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Peter Mugendi (Guest) on April 10, 2021

Amina

Diana Mallya (Guest) on July 3, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Nancy Akumu (Guest) on February 11, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Catherine Naliaka (Guest) on February 7, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Grace Majaliwa (Guest) on December 25, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Joseph Kawawa (Guest) on December 13, 2019

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Victor Mwalimu (Guest) on December 3, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Victor Kimario (Guest) on October 31, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Paul Ndomba (Guest) on August 12, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Christopher Oloo (Guest) on July 20, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Joseph Kitine (Guest) on July 12, 2019

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

David Sokoine (Guest) on June 16, 2019

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Jane Muthoni (Guest) on May 23, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Joyce Nkya (Guest) on March 30, 2019

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Michael Onyango (Guest) on February 17, 2019

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Betty Kimaro (Guest) on February 16, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Miriam Mchome (Guest) on January 5, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Paul Kamau (Guest) on October 12, 2018

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Betty Kimaro (Guest) on September 26, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Raphael Okoth (Guest) on September 11, 2018

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Patrick Mutua (Guest) on August 20, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Faith Kariuki (Guest) on August 1, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Majaliwa (Guest) on July 18, 2018

Tumaini ni nanga ya roho

David Kawawa (Guest) on June 13, 2018

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Miriam Mchome (Guest) on April 30, 2018

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About