Inashangaza kwa sasa watu wengi hawapendi kuambiwa kuhusu kutubu dhambi zao bali wanataka waambiwe watabarikiwa. Kama vile wewe huwezi kumvika mwanao nguo nzuri kabla ya kumuogesha vivyo hivyo na Mungu hawezi kukubariki kabla ya kukutakasa. Unapotubu unasamehewa na kutakaswa dhambi zako kisha unakua umefungua milango ya baraka. Huwezi kubarikiwa bila kutubu kweli.

Toba, msamaha na Baraka
Date: May 10, 2022
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts

Sala ni Upendo
Sala sio maneno mengi au maneno ya kurudiarudia. Sala ni maneno au hata neno moja la kimapendo li... Read More

Mungu ni Mwaminifu
Mungu ni Mwaminifu Sana na mwenye mipango na subira katika kila kitu hasa Sala na maombi yetu kwa... Read More

Uhuru na Amani ya Moyoni
Uhuru Na Amani Ya Moyoni hupatikana kwa kusali wala sio kwa kusoma vitabu na kujua sana Mambo men... Read More

Anachokiangalia Mungu
Mungu haangalii matemdo ya mtu ya nje tuu, bali anaangalia ndani kabisa mawazo ya mtu na nia yake... Read More

Kuomba na Kushukuru
Unapo mwomba Mungu Usisahau Kushukuru. Kushukuru ni kuomba mara ya pili. Utazidishiwa kile ulicho... Read More

Jambo la muhimu zaidi Duniani
Hakuna kitu cha Muhimu zaidi Duniani kama kumjua Mungu na kumuishi Mungu. Kila binadamu ameumbwa ... Read More

Mungu ni mwema
Mungu anaporuhusu ukaingia katika majaribu na mateso hana nia ya kukutesa bali anataka kukuimaris... Read More

Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea
Kukosa hata mara moja inahesabika ni kukosea mbele ya Mungu. Kwa kuwa kwa Mungu hakuna kusema, 'K... Read More

Upendo na ubinafsi
Upendo hauandamani na ubinafsi. Huwezi kusema una upendo wa kweli kama huwezi kujinyima vile unav... Read More

Uwepo wa Mungu wakati wa shida
Kwa kawaida kwenye maisha unapofikia Hatua unaona Mungu hayupo kabisa na wewe basi ujue huo ndio ... Read More

Mnyororo wa Baraka za Mungu
Usiache kusali na kutenda mema kwa kuwa huwezi jua ni watu wangapi wanategemea sala na matendo ya... Read More

Mungu ni mwema hata tunapokua wadhambi
Mungu ni mwema sana tunapokua wadhambi anapotuadhibu haimaanishi kuwa anatuchukia. Inamaanisha ku... Read More
Margaret Anyango (Guest) on July 14, 2024
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Anna Mchome (Guest) on May 10, 2024
Sifa kwa Bwana!
Peter Otieno (Guest) on April 7, 2024
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Anna Malela (Guest) on March 20, 2024
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Rose Waithera (Guest) on September 21, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Francis Njeru (Guest) on April 14, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Alice Mwikali (Guest) on August 3, 2022
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Sarah Karani (Guest) on May 22, 2022
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Nora Lowassa (Guest) on April 29, 2022
Mungu akubariki!
Elizabeth Malima (Guest) on April 3, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Hellen Nduta (Guest) on January 31, 2022
Dumu katika Bwana.
Michael Mboya (Guest) on July 26, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Joseph Kitine (Guest) on July 3, 2021
Mungu ni mwema, wakati wote!
Wilson Ombati (Guest) on June 2, 2021
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Lydia Wanyama (Guest) on February 18, 2021
Endelea kuwa na imani!
Susan Wangari (Guest) on December 4, 2020
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Wilson Ombati (Guest) on October 15, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Mariam Kawawa (Guest) on August 8, 2020
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Joyce Mussa (Guest) on May 24, 2020
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Stephen Kikwete (Guest) on May 2, 2020
Mwamini Bwana; anajua njia
Joyce Mussa (Guest) on March 1, 2020
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
James Malima (Guest) on February 25, 2020
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Carol Nyakio (Guest) on November 16, 2019
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Mary Sokoine (Guest) on October 20, 2019
Rehema hushinda hukumu
Elizabeth Malima (Guest) on June 14, 2019
Mwamini katika mpango wake.
Anna Mahiga (Guest) on January 31, 2019
Baraka kwako na familia yako.
Andrew Mahiga (Guest) on January 7, 2019
Katika imani, yote yanawezekana
Mary Kidata (Guest) on November 13, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
Margaret Anyango (Guest) on October 20, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Dorothy Nkya (Guest) on October 13, 2018
Neema ya Mungu inatosha kwako
Kevin Maina (Guest) on June 26, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Irene Akoth (Guest) on May 27, 2018
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Charles Mchome (Guest) on April 28, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
Francis Mrope (Guest) on February 16, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Sharon Kibiru (Guest) on February 16, 2018
Nakuombea π
Grace Njuguna (Guest) on February 10, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Kevin Maina (Guest) on September 12, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Ruth Mtangi (Guest) on July 20, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Mary Mrope (Guest) on March 15, 2017
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Peter Tibaijuka (Guest) on February 25, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Grace Njuguna (Guest) on February 10, 2017
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Vincent Mwangangi (Guest) on January 27, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
James Kawawa (Guest) on September 16, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
George Ndungu (Guest) on June 15, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
George Ndungu (Guest) on May 6, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Janet Wambura (Guest) on March 16, 2016
Rehema zake hudumu milele
Lydia Mzindakaya (Guest) on March 11, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Joy Wacera (Guest) on February 10, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Chris Okello (Guest) on October 6, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Mercy Atieno (Guest) on April 10, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia