Sala sio maneno tuu

✍️ DIN - Melkisedeck Leon ShineπŸ“… 2022-03-20 08:06:51πŸ’¬ 50 comments⏱️ ~1 min read
πŸ“„ PDF

Sala siyo maneno mazuri, bali sala ni NIA ya Upendo iliyobebwa na maneno mazuri. Tusali kwa kunuia kutoka moyoni na sio kwa kunena maneno tuu mdomoni.

πŸ’¬

Discussion

Share a thoughtful comment or reply. Content is escaped before display.

50 comment(s)
C
Charles Mboje2024-06-16 22:00:57
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
E
Edwin Ndambuki2024-05-29 17:22:15
Endelea kuwa na imani!
J
James Malima2024-03-17 19:17:41
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
E
Elijah Mutua2024-01-06 15:01:45
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
F
Frank Macha2023-10-05 17:28:22
Kwa Mungu, yote yanawezekana
G
George Ndungu2023-09-26 15:45:01
Imani inaweza kusogeza milima
P
Peter Mbise2023-08-12 06:39:25
Mwamini katika mpango wake.
I
Irene Akoth2023-06-03 20:16:59
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
S
Sarah Mbise2023-04-25 04:04:06
Baraka kwako na familia yako.
R
Ruth Mtangi2022-12-06 21:13:24
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
R
Ruth Kibona2022-10-12 22:16:01
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
I
Irene Makena2022-08-18 05:36:52
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
P
Paul Kamau2022-07-04 11:40:59
Katika imani, yote yanawezekana
G
Grace Majaliwa2022-06-10 10:33:33
Dumu katika Bwana.
G
George Wanjala2022-05-13 03:23:20
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
V
Victor Sokoine2022-05-06 08:08:16
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
B
Betty Cheruiyot2021-11-23 14:42:40
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
J
John Lissu2021-09-26 11:31:59
Nakuombea πŸ™
J
James Kimani2021-08-26 23:05:06
Mwamini Bwana; anajua njia
N
Nancy Akumu2021-06-19 10:35:56
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha