Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani. Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Shamsa (Guest) on July 1, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on June 28, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Faiza (Guest) on June 24, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Mwangi (Guest) on June 21, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Simon Kiprono (Guest) on June 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Mbithe (Guest) on May 30, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Rose Mwinuka (Guest) on May 16, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

John Mushi (Guest) on May 16, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on April 27, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Mushi (Guest) on April 22, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mtumwa (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edith Cherotich (Guest) on March 28, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Zainab (Guest) on February 28, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on February 4, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on January 29, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Kazija (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Abubakari (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Patrick Kidata (Guest) on January 11, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on December 21, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on December 12, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Henry Sokoine (Guest) on November 25, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on November 15, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on November 6, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mchawi (Guest) on November 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on October 16, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on October 11, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Emily Chepngeno (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

David Sokoine (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mariam (Guest) on July 24, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Farida (Guest) on July 20, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

John Mwangi (Guest) on July 17, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zawadi (Guest) on July 5, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Hawa (Guest) on June 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on April 18, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on April 15, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on January 18, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Leila (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Victor Sokoine (Guest) on November 18, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on November 7, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on October 5, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Paul Ndomba (Guest) on September 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 5, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on September 3, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Brian Karanja (Guest) on August 29, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Fredrick Mutiso (Guest) on July 31, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Rahma (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Mwafirika (Guest) on July 8, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Grace Njuguna (Guest) on July 7, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on July 4, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Hawa (Guest) on July 1, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Benjamin Masanja (Guest) on June 26, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Emily Chepngeno (Guest) on May 29, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on May 16, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 19, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Shamsa (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles