mapenzi si pombe lkn yanalewesha, wala si kidonda lakini
yanatonesha,wala si maradhi lakini yanaumiza, wala si
njaa lakini yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwa
unaempenda
SMS nzuri kuhusu maana ya mapenzi
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
