Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 236

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ George Tenga Guest Apr 30, 2017
πŸ˜‚πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Margaret Anyango Guest Apr 29, 2017
Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest Feb 20, 2017
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…
πŸ‘₯ Robert Ndunguru Guest Feb 17, 2017
Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…
πŸ‘₯ Jane Muthui Guest Jan 26, 2017
πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest Dec 20, 2016
πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest Dec 17, 2016
Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘₯ Mchawi Guest Dec 13, 2016
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣
πŸ‘₯ Mohamed Guest Dec 1, 2016
😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Nov 25, 2016
🀣πŸ”₯😊
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Nov 12, 2016
🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!
πŸ‘₯ Joyce Mussa Guest Nov 4, 2016
πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Oct 30, 2016
πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ George Mallya Guest Oct 29, 2016
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣
πŸ‘₯ John Kamande Guest Sep 19, 2016
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…
πŸ‘₯ Umi Guest Aug 9, 2016
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣
πŸ‘₯ Omar Guest Jul 20, 2016
πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!
πŸ‘₯ Jane Malecela Guest Jun 24, 2016
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…
πŸ‘₯ Victor Mwalimu Guest Jun 21, 2016
Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…
πŸ‘₯ Mwinyi Guest Jun 18, 2016
πŸ˜† Hiyo punchline!
πŸ‘₯ Monica Lissu Guest Jun 9, 2016
Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘
πŸ‘₯ James Malima Guest May 27, 2016
Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚
πŸ‘₯ Kenneth Murithi Guest May 8, 2016
Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ George Mallya Guest Apr 7, 2016
πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!
πŸ‘₯ Stephen Kangethe Guest Mar 25, 2016
🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!
πŸ‘₯ Shamsa Guest Mar 22, 2016
πŸ˜† Nacheka hadi chini!
πŸ‘₯ Zakia Guest Mar 1, 2016
🀣 Sikutarajia hiyo!
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest Feb 24, 2016
Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest Feb 24, 2016
Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†
πŸ‘₯ Yusuf Guest Feb 16, 2016
🀣 Nalia kwa kicheko kweli!
πŸ‘₯ Simon Kiprono Guest Feb 7, 2016
Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ Joseph Kitine Guest Dec 21, 2015
Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†
πŸ‘₯ Samuel Were Guest Dec 16, 2015
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…
πŸ‘₯ Hashim Guest Dec 11, 2015
πŸ˜† Naihifadhi hii!
πŸ‘₯ Josephine Guest Nov 20, 2015
πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest Oct 17, 2015
πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!
πŸ‘₯ Stephen Kikwete Guest Oct 16, 2015
Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚
πŸ‘₯ George Wanjala Guest Oct 8, 2015
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest Oct 3, 2015
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚
πŸ‘₯ Mariam Kawawa Guest Oct 1, 2015
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚
πŸ‘₯ James Kawawa Guest Sep 21, 2015
πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Sep 14, 2015
😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!
πŸ‘₯ Athumani Guest Sep 5, 2015
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†
πŸ‘₯ David Sokoine Guest Aug 7, 2015
πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘₯ Mazrui Guest Jul 26, 2015
πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
πŸ‘₯ Grace Minja Guest Jun 29, 2015
Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ Sarah Achieng Guest Jun 17, 2015
Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†
πŸ‘₯ Lydia Mutheu Guest Jun 9, 2015
🀣 Hii imenigonga vizuri!
πŸ‘₯ Moses Mwita Guest Jun 8, 2015
πŸ˜„ Kali sana!
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest May 17, 2015
Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ Wilson Ombati Guest May 13, 2015
😁 Hii ni hazina ya kichekesho!
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest May 5, 2015
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest May 4, 2015
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘
πŸ‘₯ Mzee Guest Apr 30, 2015
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†
πŸ‘₯ Francis Mrope Guest Apr 28, 2015
πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†
πŸ‘₯ Yusuf Guest Apr 12, 2015
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About