Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.

1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea koki utalowa
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa
25. NIPO NIPO KWANZA
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Zetu dagaa kuku tamaa
32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki
H
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜πŸ˜πŸ˜

Share na wenzako kuongeza siku za kuishi

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Mahiga (Guest) on July 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on June 20, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zawadi (Guest) on June 18, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 25, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on May 7, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Neema (Guest) on April 26, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joyce Aoko (Guest) on April 10, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Maida (Guest) on April 6, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Thomas Mtaki (Guest) on March 7, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Grace Mushi (Guest) on March 2, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on January 4, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on December 22, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

John Lissu (Guest) on December 4, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on November 28, 2016

🀣πŸ”₯😊

Mwanakhamis (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Charles Wafula (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Tabitha Okumu (Guest) on November 1, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on October 4, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Grace Minja (Guest) on October 2, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on August 31, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Kamande (Guest) on August 26, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on August 21, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Elijah Mutua (Guest) on August 9, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Kenneth Murithi (Guest) on July 29, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Makame (Guest) on June 10, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Raha (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Abubakar (Guest) on May 31, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ann Awino (Guest) on May 28, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Malela (Guest) on May 21, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Henry Mollel (Guest) on May 7, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on April 27, 2016

😊🀣πŸ”₯

Maulid (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Victor Malima (Guest) on December 28, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on December 26, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Kimotho (Guest) on December 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Kijakazi (Guest) on December 16, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Joy Wacera (Guest) on November 29, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on November 27, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on November 24, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 8, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Robert Ndunguru (Guest) on October 28, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Andrew Mchome (Guest) on October 27, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on October 20, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on October 3, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on October 2, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Agnes Sumaye (Guest) on September 16, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on September 3, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumaye (Guest) on August 11, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 2, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on June 14, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Henry Sokoine (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

John Mushi (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Nyerere (Guest) on May 8, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Azima (Guest) on April 21, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Related Posts

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About