Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Orderβ¦
Mimi na kiherehere changu nikasema.. Chapati .. Maziwa na ovacado tatu β¦
Nimewekwa kwa karoom kengine hapa kanagiza..
i think wananiandalia chapati
πππππππππ
Kilichotokea Leo mahakamani
β’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
