Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje,

Si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, 'We nani?', Jamaa akajibu, 'Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea mi ndo najivinjari hapa'. Mume kajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nakuua.πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

*Mniache mimi sipendi Ujinga Ujinga πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ruth Mtangi (Guest) on May 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on April 24, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Zakia (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Jabir (Guest) on April 13, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Baridi (Guest) on April 1, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Grace Mligo (Guest) on February 16, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on January 27, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on January 4, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on December 17, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on December 2, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Francis Njeru (Guest) on November 30, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on November 25, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on November 21, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Binti (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nora Kidata (Guest) on November 4, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Raphael Okoth (Guest) on September 17, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Kenneth Murithi (Guest) on August 16, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Binti (Guest) on July 28, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on July 20, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on July 17, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sharon Kibiru (Guest) on July 15, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

James Mduma (Guest) on July 12, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Jane Malecela (Guest) on July 4, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Asha (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Paul Kamau (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jane Malecela (Guest) on May 19, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on May 6, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Nashon (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Leila (Guest) on April 13, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lucy Mushi (Guest) on March 31, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nora Lowassa (Guest) on March 26, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on March 13, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on February 22, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on January 8, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on January 8, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on December 9, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on November 7, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

John Mushi (Guest) on November 3, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on November 2, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on October 27, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Warda (Guest) on October 20, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Bakari (Guest) on September 19, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joseph Kiwanga (Guest) on August 21, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on July 23, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on July 10, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on July 6, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sumaya (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Ruth Mtangi (Guest) on June 3, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on May 26, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Hawa (Guest) on May 22, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Husna (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Kidata (Guest) on April 13, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Related Posts

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More