Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Unakumbuka haya enzi za shule?

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπŸ˜‚
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπŸ˜‚
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπŸ˜†
πŸ˜‚
Dah shule zetu hizi kiboko!!

Ipi umeipitia wewe
Share na wengine

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Kidata (Guest) on August 6, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on July 27, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on July 24, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Benjamin Kibicho (Guest) on July 7, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Lissu (Guest) on June 14, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Omari (Guest) on May 23, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Wilson Ombati (Guest) on May 7, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Wambura (Guest) on May 3, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Fredrick Mutiso (Guest) on April 29, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Mwinuka (Guest) on April 19, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Henry Sokoine (Guest) on March 24, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Irene Akoth (Guest) on March 21, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Sarah Karani (Guest) on March 12, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on February 28, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Maimuna (Guest) on February 16, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Brian Karanja (Guest) on February 11, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Selemani (Guest) on January 27, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Francis Mtangi (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mashaka (Guest) on January 16, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Victor Sokoine (Guest) on January 4, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on December 12, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Alice Wanjiru (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mbise (Guest) on October 31, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

John Mushi (Guest) on October 22, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on October 14, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on September 7, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on August 1, 2016

😊🀣πŸ”₯

Peter Otieno (Guest) on July 26, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Frank Macha (Guest) on June 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on May 24, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Shamim (Guest) on May 20, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 15, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Charles Wafula (Guest) on May 4, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Patrick Kidata (Guest) on April 25, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on April 11, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Charles Mchome (Guest) on March 10, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

George Mallya (Guest) on December 27, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nyota (Guest) on December 17, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

David Ochieng (Guest) on November 19, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Grace Minja (Guest) on November 11, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mhina (Guest) on October 23, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Michael Onyango (Guest) on October 7, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Nyota (Guest) on October 2, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Dorothy Nkya (Guest) on September 27, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Lowassa (Guest) on September 23, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

John Lissu (Guest) on September 7, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

David Ochieng (Guest) on August 17, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on August 8, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Patrick Kidata (Guest) on August 5, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on July 3, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

John Mushi (Guest) on July 1, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on June 15, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Nancy Kawawa (Guest) on May 11, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on April 29, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Related Posts

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles