Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!

2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)

Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.

4. NDOA YA MAONYESHO

Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!

5. NDOA YA UHAMISHO.

Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.

6. NDOA YA MIMBA.

Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.

7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)

Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.

8. NDOA YA KWASABABU.

Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.

9. NDOA YA UPENDO.

Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.

10. NDOA KUCHUMA

Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Majaliwa (Guest) on December 23, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on November 7, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on October 19, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Mchawi (Guest) on October 14, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Juma (Guest) on October 9, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Elijah Mutua (Guest) on September 11, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Mary Sokoine (Guest) on July 27, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Betty Cheruiyot (Guest) on July 24, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on July 6, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Azima (Guest) on July 5, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Edward Chepkoech (Guest) on June 2, 2019

🀣πŸ”₯😊

Moses Mwita (Guest) on March 17, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Abubakar (Guest) on March 2, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 17, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 11, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on January 10, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Waithera (Guest) on January 8, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

George Tenga (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Neema (Guest) on December 20, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nakitare (Guest) on December 12, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Charles Mchome (Guest) on October 31, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

James Malima (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Margaret Mahiga (Guest) on October 22, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on October 16, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on August 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on August 10, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 2, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Mallya (Guest) on July 2, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 16, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jackson Makori (Guest) on May 15, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 8, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shabani (Guest) on April 23, 2018

Asante Ackyshine

Jane Muthoni (Guest) on April 8, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Rahma (Guest) on March 3, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Warda (Guest) on February 24, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

John Kamande (Guest) on February 22, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on February 11, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Kenneth Murithi (Guest) on February 6, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on February 5, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on January 27, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on January 23, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Mboya (Guest) on December 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sekela (Guest) on November 27, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on November 20, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Abdullah (Guest) on November 15, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Sumaye (Guest) on November 9, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Kassim (Guest) on October 30, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

John Lissu (Guest) on October 17, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Chacha (Guest) on October 17, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on September 27, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Benjamin Masanja (Guest) on September 26, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lydia Mutheu (Guest) on September 25, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on September 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on September 21, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on September 14, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on August 25, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 14, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Tabu (Guest) on July 30, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Bernard Oduor (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Related Posts

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles