Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Utani wa wachaga

Featured Image

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita "vishohia". Wanawake wa Rombo ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji.

2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.

3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja… wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.

4. WAMACHAME; hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa. Ni wasiri sana lakini wako makini mno hasa kwenye pesa. Wakiwa na hasira hawaoneshi waziwazi, so Mmachame anaweza kukuua huku akitabasamu. Sio waaminifu sana lakini wanaenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.

5. WAURU; hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa. Hadi leo eneo lao la Kishumundu linatumika ku-identify wachagga washamba. Wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, lakini wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.

6. WASIHA; Kwanza hawapendi kuitwa Wachagga. Wanajiita watu wa West-Kilimanjaro. Ni mchanganyiko wa Wachagga na WaMeru. Hawapendi shule ila wanapenda zaidi kazi za ufundi na kilimo. Viazi vingi vya Chips Arusha na Moshi vinatoka kwao. Wanawake zao wana "vigimbi" mguuni sababu ya kulima mno.!

7. WAKIRUA; wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wa Kirua hawapendi kuoa kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini wawili tu utadhani wako mia.

8. WA OLD-MOSHI; Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi inayoanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!

Wachaga mnisamehe!
πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒβœ‹βœ‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Musyoka (Guest) on November 21, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Aoko (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on October 21, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Andrew Odhiambo (Guest) on October 13, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on October 7, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on September 23, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Bernard Oduor (Guest) on September 23, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on September 11, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on September 5, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Victor Kamau (Guest) on August 21, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Kenneth Murithi (Guest) on August 13, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on June 26, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on June 18, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on June 4, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Jane Malecela (Guest) on May 27, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Nora Lowassa (Guest) on May 24, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Irene Akoth (Guest) on May 17, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Nancy Akumu (Guest) on March 26, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Musyoka (Guest) on February 21, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on February 19, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on January 25, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Fredrick Mutiso (Guest) on January 18, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sarah Karani (Guest) on December 30, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on December 29, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Kiwanga (Guest) on December 28, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Patrick Akech (Guest) on December 27, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on December 19, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on December 11, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rose Waithera (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Ali (Guest) on October 27, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on October 19, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on October 13, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Kamau (Guest) on September 27, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on August 25, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mercy Atieno (Guest) on August 18, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

James Kawawa (Guest) on August 13, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Grace Wairimu (Guest) on August 8, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Benjamin Masanja (Guest) on August 8, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mazrui (Guest) on August 3, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

John Mushi (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mbise (Guest) on June 15, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Anna Sumari (Guest) on May 27, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on May 25, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on May 14, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on May 3, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on April 29, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on April 23, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Samson Mahiga (Guest) on March 31, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Miriam Mchome (Guest) on February 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on February 12, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on February 7, 2018

🀣πŸ”₯😊

Lydia Wanyama (Guest) on February 6, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Amina (Guest) on January 23, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Kibona (Guest) on January 21, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mustafa (Guest) on December 31, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on December 25, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on November 29, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Zulekha (Guest) on November 27, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Njeri (Guest) on November 16, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

George Mallya (Guest) on October 20, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Related Posts

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More