Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Mkulima: Mama yako?

Mtoto: Nae kaenda mjini na baba.

Mkulima: Kaka yako Howard yupo?

Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa.
Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu.

Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mgeni (Guest) on October 11, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ali (Guest) on September 22, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Tambwe (Guest) on September 11, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Wilson Ombati (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Hellen Nduta (Guest) on August 26, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on August 25, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Sumari (Guest) on June 28, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Maneno (Guest) on June 22, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 18, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on June 16, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

John Lissu (Guest) on May 19, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

George Tenga (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 29, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Abubakari (Guest) on April 23, 2019

Asante Ackyshine

Emily Chepngeno (Guest) on April 12, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Monica Lissu (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Raphael Okoth (Guest) on March 10, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on February 21, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on February 20, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on December 19, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 28, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Chris Okello (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Samuel Were (Guest) on September 11, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Rose Kiwanga (Guest) on July 29, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on July 25, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on July 22, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on July 19, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on July 8, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on June 13, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Tenga (Guest) on June 12, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Martin Otieno (Guest) on June 1, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 15, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Dorothy Nkya (Guest) on April 12, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 31, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on March 27, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

David Musyoka (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Hellen Nduta (Guest) on January 15, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on January 12, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on December 24, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on November 9, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Anthony Kariuki (Guest) on November 8, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Anna Sumari (Guest) on October 25, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on October 11, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Catherine Mkumbo (Guest) on September 28, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on September 18, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on September 18, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on September 12, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Susan Wangari (Guest) on September 8, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on August 8, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on July 19, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on May 30, 2017

😊🀣πŸ”₯

Victor Kimario (Guest) on May 26, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on May 25, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on May 10, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jafari (Guest) on April 30, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Margaret Mahiga (Guest) on April 14, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Margaret Mahiga (Guest) on April 14, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Achieng (Guest) on March 18, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on March 12, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Related Posts

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More