Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

MLEVI: Niletee supu kisha wasikilize wote waliokaa hapa na wao wape supu sipendi kunywa supu watu wananiangalia
Safari hii watu wakapiga makofi
Baadae akamuita mhudumu
MLEVI: Niandikie bili zangu kisha waandikie wote bili zao sipendi kulipa huku watu wananiangalia

Wale wateja wakamvaa na kumshushia kichapo… teh teh teh teh teh hii kali hakuna cha bure mjini hahahaha na jasho la mtu haliliwi wandugu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mazrui (Guest) on August 9, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on August 4, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on June 21, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on June 20, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Stephen Amollo (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mariam Kawawa (Guest) on May 30, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on April 27, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Margaret Anyango (Guest) on April 24, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on March 8, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Mligo (Guest) on February 7, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on February 7, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Safiya (Guest) on February 6, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on January 13, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on December 30, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on December 29, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on December 19, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on December 15, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on December 12, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Tibaijuka (Guest) on November 27, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on November 22, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 25, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on October 13, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Yusuf (Guest) on October 12, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on October 12, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on October 7, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Jane Muthoni (Guest) on October 6, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 26, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on September 14, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sultan (Guest) on September 9, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on August 22, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on August 21, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Josephine (Guest) on July 13, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

James Malima (Guest) on July 10, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on June 29, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Alex Nyamweya (Guest) on June 17, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Abubakar (Guest) on June 2, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 26, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Peter Mugendi (Guest) on May 24, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on April 25, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on April 13, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 7, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Salma (Guest) on March 1, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Sumaya (Guest) on February 20, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Mwanahawa (Guest) on February 17, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Ruth Mtangi (Guest) on February 17, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Halima (Guest) on January 30, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on January 24, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mercy Atieno (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shamim (Guest) on December 1, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Josephine Nekesa (Guest) on November 12, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on October 27, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 20, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Makame (Guest) on October 13, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Robert Ndunguru (Guest) on August 31, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mercy Atieno (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joy Wacera (Guest) on August 15, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on August 7, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on July 15, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About