Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

Jamaa: Muhudumu nipe supu na kila mtu humu ndani mpe supu maana ninapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu. Watu wakapewa supu tena safari hii wakapiga makofi.
Jamaa: Muhudumu nipe bili, na kila mtu humu ndani mpe bili maana wakati nalipa bili yangu kila mtu lazima alipe yake. Zogo lilianzia hapo…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Betty Akinyi (Guest) on April 11, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on April 2, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on March 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 17, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on March 16, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mrope (Guest) on March 1, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ali (Guest) on February 26, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on February 25, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on February 2, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Omondi (Guest) on January 30, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on January 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on January 5, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on January 4, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on December 29, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Tabu (Guest) on December 22, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Lydia Wanyama (Guest) on September 28, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ramadhan (Guest) on September 7, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Charles Wafula (Guest) on August 22, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on August 18, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jaffar (Guest) on June 7, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ann Wambui (Guest) on April 21, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Andrew Odhiambo (Guest) on March 18, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mashaka (Guest) on March 7, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 18, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on February 12, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mhina (Guest) on January 30, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Anna Mahiga (Guest) on January 23, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on January 11, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on January 5, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Edward Lowassa (Guest) on December 28, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 25, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on December 10, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Alex Nakitare (Guest) on December 7, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Victor Sokoine (Guest) on October 10, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on September 17, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lucy Mahiga (Guest) on September 9, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on September 2, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on August 22, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Diana Mumbua (Guest) on August 5, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on July 20, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on July 5, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on June 11, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Neema (Guest) on May 31, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

George Tenga (Guest) on May 22, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jamila (Guest) on May 9, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mwanaisha (Guest) on April 7, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Samuel Omondi (Guest) on April 6, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Victor Sokoine (Guest) on March 31, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Frank Sokoine (Guest) on March 14, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 10, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on February 9, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ndoto (Guest) on February 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on January 26, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Stephen Mushi (Guest) on January 20, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on January 14, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on December 1, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kitine (Guest) on November 28, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on November 10, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on November 7, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.