Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui. Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu? Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho? Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!. SHARE na marafiki kama umemkubali Mbongo kwa ujanja. Lakini unafikiri Mbongo huyu kwa akili hizi atakuwa ametokea mkoa gani!?.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Catherine Naliaka (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

David Sokoine (Guest) on September 13, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Makame (Guest) on August 21, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Lucy Mushi (Guest) on August 5, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Zakia (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alice Wanjiru (Guest) on June 24, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Kimario (Guest) on June 20, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Kiza (Guest) on May 26, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Kendi (Guest) on May 19, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on May 14, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on May 8, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Mwambui (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Selemani (Guest) on April 17, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sultan (Guest) on April 15, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mercy Atieno (Guest) on April 8, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Tabitha Okumu (Guest) on March 22, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on March 17, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on March 15, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Kevin Maina (Guest) on February 12, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

John Mushi (Guest) on February 1, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on January 20, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Monica Lissu (Guest) on December 27, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Rahim (Guest) on November 2, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 1, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Wilson Ombati (Guest) on October 27, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on October 13, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on September 17, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Moses Mwita (Guest) on August 22, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nahida (Guest) on August 2, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Zuhura (Guest) on August 1, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Susan Wangari (Guest) on July 28, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Malima (Guest) on July 10, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alice Jebet (Guest) on May 20, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Emily Chepngeno (Guest) on May 15, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Kassim (Guest) on May 14, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on April 30, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 7, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Samson Tibaijuka (Guest) on April 3, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on March 4, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on February 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on February 11, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on January 9, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on January 8, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on December 27, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on November 28, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on November 24, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on November 18, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mbise (Guest) on October 7, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on October 3, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on September 4, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Edward Lowassa (Guest) on August 24, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Robert Okello (Guest) on August 14, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 27, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Saidi (Guest) on July 26, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 24, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Victor Sokoine (Guest) on July 12, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on June 25, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Zubeida (Guest) on June 18, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Related Posts

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

πŸ“– Explore More Articles