Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-
1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita "vishohia". Wanawake wa Rombo ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji.
2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.
3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja⦠wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.
4. WAMACHAME; hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa. Ni wasiri sana lakini wako makini mno hasa kwenye pesa. Wakiwa na hasira hawaoneshi waziwazi, so Mmachame anaweza kukuua huku akitabasamu. Sio waaminifu sana lakini wanaenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.
5. WAURU; hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa. Hadi leo eneo lao la Kishumundu linatumika ku-identify wachagga washamba. Wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, lakini wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.
6. WASIHA; Kwanza hawapendi kuitwa Wachagga. Wanajiita watu wa West-Kilimanjaro. Ni mchanganyiko wa Wachagga na WaMeru. Hawapendi shule ila wanapenda zaidi kazi za ufundi na kilimo. Viazi vingi vya Chips Arusha na Moshi vinatoka kwao. Wanawake zao wana "vigimbi" mguuni sababu ya kulima mno.!
7. WAKIRUA; wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wa Kirua hawapendi kuoa kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini wawili tu utadhani wako mia.
8. WA OLD-MOSHI; Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi inayoanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!
Wachaga mnisamehe!
ππππββ
Furaha (Guest) on July 8, 2022
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Mary Sokoine (Guest) on June 28, 2022
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Safiya (Guest) on June 5, 2022
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Moses Mwita (Guest) on May 25, 2022
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Salma (Guest) on May 22, 2022
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Carol Nyakio (Guest) on May 19, 2022
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Catherine Naliaka (Guest) on May 15, 2022
ππ
Betty Cheruiyot (Guest) on May 13, 2022
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Irene Akoth (Guest) on May 1, 2022
π€£ππ
Moses Kipkemboi (Guest) on April 25, 2022
Nimecheka hadi machozi π€£π
Tabitha Okumu (Guest) on March 24, 2022
Hii ni bomba sana! π€£π
Irene Akoth (Guest) on March 13, 2022
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Nicholas Wanjohi (Guest) on March 10, 2022
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Rose Kiwanga (Guest) on March 3, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Alice Mwikali (Guest) on February 7, 2022
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Josephine (Guest) on January 26, 2022
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Rose Lowassa (Guest) on December 28, 2021
Hii ni ya maana sana! ππ
Lydia Mahiga (Guest) on December 17, 2021
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Grace Majaliwa (Guest) on December 3, 2021
Asante Ackyshine
Violet Mumo (Guest) on November 22, 2021
π€£π€£π
James Kimani (Guest) on November 14, 2021
ππ€£π
John Lissu (Guest) on November 10, 2021
π Hii imenigonga kweli!
Rose Amukowa (Guest) on September 20, 2021
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Sofia (Guest) on August 23, 2021
π€£ Sikutarajia hiyo!
Sarah Mbise (Guest) on August 21, 2021
Mna talent ya jokes! ππ
Mwajuma (Guest) on August 19, 2021
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Abubakari (Guest) on August 5, 2021
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Patrick Kidata (Guest) on July 31, 2021
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Grace Minja (Guest) on July 13, 2021
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Hellen Nduta (Guest) on July 2, 2021
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
John Lissu (Guest) on June 27, 2021
π Bado nacheka!
Dorothy Majaliwa (Guest) on June 8, 2021
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Andrew Odhiambo (Guest) on June 2, 2021
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Salum (Guest) on May 31, 2021
π Siwezi kuacha kucheka!
Salima (Guest) on May 12, 2021
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Sarah Mbise (Guest) on April 22, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Esther Cheruiyot (Guest) on April 17, 2021
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
John Mushi (Guest) on March 19, 2021
ππππ
Margaret Mahiga (Guest) on March 2, 2021
π Ninashiriki mara moja!
Rose Lowassa (Guest) on January 20, 2021
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Grace Majaliwa (Guest) on December 14, 2020
π Lazima nihifadhi hii!
Stephen Mushi (Guest) on December 2, 2020
πππ
George Tenga (Guest) on October 28, 2020
ππ
Baridi (Guest) on October 5, 2020
π Bado ninacheka!
Francis Mtangi (Guest) on September 27, 2020
Hii imenikuna sana! ππ
Henry Mollel (Guest) on September 18, 2020
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Mercy Atieno (Guest) on September 8, 2020
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Sarah Achieng (Guest) on August 23, 2020
ππ€£ππ
Tabitha Okumu (Guest) on August 16, 2020
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Mhina (Guest) on August 3, 2020
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Patrick Mutua (Guest) on July 19, 2020
π πππ
Agnes Lowassa (Guest) on April 29, 2020
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Susan Wangari (Guest) on April 8, 2020
π€£πππ
Alice Jebet (Guest) on March 10, 2020
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
Faith Kariuki (Guest) on March 4, 2020
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Christopher Oloo (Guest) on February 15, 2020
Hii imenikuna! ππ
Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 8, 2020
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Frank Macha (Guest) on January 8, 2020
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Henry Sokoine (Guest) on January 6, 2020
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Raphael Okoth (Guest) on December 11, 2019
π Ninakufa hapa!