Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa. Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao. Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana. Wakaingia msituni kila mtu njia yake. … Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa. Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa. Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?” Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zuhura (Guest) on September 2, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Monica Nyalandu (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joyce Mussa (Guest) on August 6, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on July 31, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on July 29, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Josephine (Guest) on July 24, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Abdullah (Guest) on July 18, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nuru (Guest) on July 8, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on June 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on June 16, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mrema (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mary Njeri (Guest) on June 3, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Nyerere (Guest) on May 28, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 2, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on April 27, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hassan (Guest) on April 11, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on April 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Sharifa (Guest) on March 26, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on March 24, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Victor Mwalimu (Guest) on March 6, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on March 1, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on February 28, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Rose Waithera (Guest) on February 20, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on February 13, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Abdullah (Guest) on February 13, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Sumaye (Guest) on February 4, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on January 28, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Zawadi (Guest) on January 23, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Richard Mulwa (Guest) on January 14, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Khatib (Guest) on January 2, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 1, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Salum (Guest) on December 11, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Fadhili (Guest) on November 6, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

George Mallya (Guest) on October 10, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on September 22, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on September 9, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on August 16, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on August 4, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Ali (Guest) on July 21, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Alice Wanjiru (Guest) on July 17, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on June 10, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Christopher Oloo (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Edward Lowassa (Guest) on May 14, 2020

Asante Ackyshine

Agnes Njeri (Guest) on April 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on April 16, 2020

😊🀣πŸ”₯

Joyce Mussa (Guest) on April 12, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Akech (Guest) on March 7, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Yusuf (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanais (Guest) on February 16, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on January 5, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Bernard Oduor (Guest) on January 2, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 27, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Zuhura (Guest) on December 26, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ndoto (Guest) on December 22, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elizabeth Malima (Guest) on December 20, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on November 27, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About