Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Malela (Guest) on October 31, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Njuguna (Guest) on October 7, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Majid (Guest) on September 29, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Mariam Kawawa (Guest) on September 14, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Sarah Mbise (Guest) on September 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Rahim (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mary Kidata (Guest) on August 18, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Tabu (Guest) on August 10, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Rose Mwinuka (Guest) on July 20, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on June 25, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on June 24, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 25, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

David Musyoka (Guest) on May 13, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on May 5, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Anna Kibwana (Guest) on April 13, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on March 7, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Diana Mumbua (Guest) on January 26, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on January 25, 2022

😊🀣πŸ”₯

Joseph Kiwanga (Guest) on January 23, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 16, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Chiku (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kawawa (Guest) on December 6, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 4, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on October 30, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Salum (Guest) on October 22, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Francis Mrope (Guest) on October 12, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on October 12, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Alice Wanjiru (Guest) on August 15, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 14, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Maulid (Guest) on July 11, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Catherine Naliaka (Guest) on June 10, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Robert Ndunguru (Guest) on June 3, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mary Mrope (Guest) on May 24, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on May 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on April 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on March 9, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on February 16, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on February 8, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mugendi (Guest) on January 22, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on December 28, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on October 25, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on September 3, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Robert Okello (Guest) on July 28, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Paul Kamau (Guest) on July 24, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Maneno (Guest) on July 15, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Athumani (Guest) on July 10, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ruth Wanjiku (Guest) on July 9, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hawa (Guest) on July 6, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Paul Ndomba (Guest) on June 8, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 4, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Musyoka (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mercy Atieno (Guest) on May 12, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on May 7, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sultan (Guest) on April 17, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Khadija (Guest) on April 8, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Irene Makena (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

πŸ“– Explore More Articles