Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Siri ya Yesu: Mwangaza Wa Maisha

Featured Image

Siri ni hii, Yesu ni Mwanga na Uovu ni giza. Giza na Mwanga havichangamani. Yesu hakai pamoja na uovu. Giza haliwezi kuzidi Mwanga. Uovu hauwezi kumzidi Yesu. Mwanga ukija giza linaondoka. Yesu akija uovu unakwisha.

Kujikabidhi Kwa Yesu Kristu Yeye Aliye Mwangaza Wa Maisha

Yesu ni Mwanga na Uovu ni giza

Giza na Mwanga havichangamani. Yesu hakai pamoja na uovu.
Giza haliwezi kuzidi Mwanga. Uovu hauwezi kumzidi Yesu.
Mwanga ukija giza linaondoka. Yesu akija uovu unakwisha.

Yesu Kristu ni mwangaza wa maisha yetu, akiwepo giza lote hutoweka.
Yesu akiwepo hakuna haja ya kufukuza giza bali giza litatoweka Lenyewe.

Unapomkaribisha Yesu katika maisha yako umekaribisha mwanga katika maisha yako na utashinda dhambi na uovu kwa kuwa Yesu aliye mwanga atavifutilia mbali.

Kikubwa ni kumkaribisha Yesu katika maisha yako na kumruhusu atawale Maisha yako na kila kitu katika maisha yako. Ukiweza kuachilia yote kwa Bwana Yesu na kumpa maisha yako basi utashinda uovu/dhambi. Vile unavyojiweka karibu na Yesu ndivyo unavyoshinda dhambi na uovu wote.

Kumkabidhi Yesu MaishaΒ ni Kuamua kuishi kulingana na Mafundisho yake, kuachilia yote katika maongozi yake, kumshirikisha Yesu kwenye kila kitu katika maisha yako na Kuwa mkweli na muwazi mbele ya Yesu katika kila kitu.

Unapomkabidhi Yesu Maisha yako na vyote ulivyonavyo yeye huyatakatifuza na kuyafanya yawe kama yanavyotakiwa kuwa kitakatifu.

Changamoto kubwa kwa Wakristu ni kushindwa kujiweka Mikononi mwa Yesu kwa kuachilia yote na kukabidhi yote kwake. Wengi wanashindwa kufanya hivyo kwa sababu ya ubinafsi na uchu wa kusimama wenyewe. Wengine wanashindwa kwa sababu ya kukosa Imani. Hawana uhakika kwamba wanachokifanya wanakifanya kweli.

Lakini ukiweza kweli kumkabidhi Yesu Maisha yako, kila kitu kinakua sawa na utafanikiwa kwenye kila kitu. Utaanza kuona unashinda uovu na dhambi kulingana na vile unavyojikabidhi na kujiachilia kwa Yesu.

Anza leo kujikabidhi kwa yesu kwa kiasi kile unachoweza. Yesu anaelewa ubinadamu na madhaifu yetu. Atakusaidia. Hata kama kuna wakati unaweza kujikabidhi kwake na kisha unaanguka tena, yeye ni mwenye huruma na ni mwelewa haswa kuhusu hali yako, atakusaidia na kukuwezesha. Weka nia ya kujikabidhi kwake na kisha utaendelea kidogo kidogo mpaka utajikuta umejikabidhi mikononi kwake kabisa.

KUMBUKA:Β Yesu ni Mwanga na Uovu ni giza, mwanga ukiwepo giza halibaki linaondoka. Hata siku moja Giza haliwezi kuuzidi mwanga

Uwe na Imani basi, Mtumainie Yesu Kristu atakushindia uovu.

Yesu ndiyo dawa ya uovu na dhambi, kila unapoanguka dhambini mkimbilie yeye naye atakusamehe na kukuwezesha kushinda dhambi na uovu. Usichoke, kila siku jaribu na kujaribu mpaka utashinda.

Nami nakuombea kwa Jina Takatifu la Yesu, Akushindie Uovu na dhambi

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Wafula (Guest) on June 6, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Lydia Mutheu (Guest) on June 5, 2018

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Richard Mulwa (Guest) on June 1, 2018

Tumaini ni nanga ya roho

Ruth Kibona (Guest) on May 24, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Alex Nakitare (Guest) on April 21, 2018

Dumu katika Bwana.

Grace Mligo (Guest) on April 4, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Nora Lowassa (Guest) on March 12, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Betty Cheruiyot (Guest) on February 19, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Grace Wairimu (Guest) on February 11, 2018

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Patrick Akech (Guest) on February 9, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Mariam Kawawa (Guest) on December 14, 2017

Endelea kuwa na imani!

Elizabeth Mrope (Guest) on December 7, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Nancy Kawawa (Guest) on December 1, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Ruth Kibona (Guest) on September 22, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Stephen Malecela (Guest) on September 22, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Diana Mumbua (Guest) on September 10, 2017

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

John Mwangi (Guest) on July 23, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Susan Wangari (Guest) on June 10, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Grace Minja (Guest) on April 15, 2017

Nakuombea πŸ™

Jane Malecela (Guest) on March 2, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 21, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Jane Muthoni (Guest) on December 31, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Patrick Akech (Guest) on December 30, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Alex Nyamweya (Guest) on December 13, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Elizabeth Mrema (Guest) on December 1, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Henry Mollel (Guest) on November 27, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Irene Akoth (Guest) on October 18, 2016

Rehema zake hudumu milele

Samuel Were (Guest) on July 29, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Lydia Mahiga (Guest) on March 22, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Lucy Mushi (Guest) on March 5, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Grace Minja (Guest) on January 23, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Elizabeth Mtei (Guest) on January 21, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Robert Okello (Guest) on October 26, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Sharon Kibiru (Guest) on August 25, 2015

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 12, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Rose Mwinuka (Guest) on July 11, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Nancy Kabura (Guest) on July 7, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Grace Majaliwa (Guest) on May 10, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Mary Njeri (Guest) on May 8, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Richard Mulwa (Guest) on April 30, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Related Posts

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Ibada Kuu ya Huruma ya Mungu: Kupokea Baraka Tele

Kama Mkristo, tunaamini kuwa huruma ya M... Read More

Kwa nini Mungu hatendi mpaka umwambie au umuombe? Kwa nini tusali?

Kwa nini Mungu hatendi mpaka umwambie au umuombe? Kwa nini tusali?

Utangulizi

Ni kwa nini tunapata Mateso na shida katika Maisha? Kwa nini Mungu ameruhus... Read More

Tafakari ya leo kuhusu Uaminifu

Tafakari ya leo kuhusu Uaminifu

Uaminifu ni kipimo na kigezo cha Ukamilifu na Utakatifu.

Wakati mtu anapoanguka dhambini ndio wakati ambao Yesu anakua karibu na mtu... Read More

Kuishi katika Huruma ya Mungu: Njia ya Utakatifu na Ukarimu

Kuishi katika Huruma ya Mungu: Njia ya Utakatifu na Ukarimu

Kuishi katika Huruma ya Mungu: Njia ya Utakatifu na Ukarimu

  1. Kuishi katika huruma... Read More

Thamani ya Neno "Nimekusamehe"

Thamani ya Neno "Nimekusamehe"

Ni jambo jema kusamehe... Read More

Huruma ya Mungu: Upendo Usiokuwa na Kifani

Huruma ya Mungu: Upendo Usiokuwa na Kifani

Huruma ya Mungu ni upendo usiokuwa na kifani ulioelekezwa kwetu sisi binadamu. Tunapokea huruma h... Read More

Tafakari Upendo Mkuu wa Mungu kwa Mwanadamu

Tafakari Upendo Mkuu wa Mungu kwa Mwanadamu

Utangulizi

Leo nimekuandalia Tafakari kuhusu Mambo yanayowazuia Waumini n... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About