Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/mobile/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya Saa Tisa

Featured Image

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. A mina

Yesu, ulikufa, lakini chanzo cha uhai kilitoka kwa ajili ya watu, na bahari ya huruma ilifunguka kwa ajili ya ulimwengu mzima. Ee chemchemi ya Uhai, huruma ya Mungu isiyo na mwisho, ikafunika ulimwengu mzima na ukajimwaga mwenyewe juu yetu.

❣✝❣

✝Ee Damu na Maji, yaliyotoka moyoni mwa Yesu kama chemchemi ya Huruma kwetu. Nakutumainia.

(Mara tatu)

πŸ›β£πŸ›

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Malela (Guest) on September 29, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Brian Karanja (Guest) on August 7, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

John Malisa (Guest) on July 11, 2017

Rehema hushinda hukumu

Lucy Mushi (Guest) on March 14, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Lucy Kimotho (Guest) on February 15, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

John Lissu (Guest) on January 17, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Andrew Odhiambo (Guest) on December 20, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Carol Nyakio (Guest) on December 18, 2016

Amina

Christopher Oloo (Guest) on September 29, 2016

Sifa kwa Bwana!

Thomas Mtaki (Guest) on September 20, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Monica Adhiambo (Guest) on September 3, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Charles Mboje (Guest) on August 12, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Henry Mollel (Guest) on April 28, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Janet Wambura (Guest) on April 26, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Wilson Ombati (Guest) on April 14, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

John Mushi (Guest) on October 10, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Thomas Mtaki (Guest) on September 2, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Charles Mrope (Guest) on August 25, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Anna Mchome (Guest) on August 9, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Stephen Mushi (Guest) on June 8, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 7, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Wilson Ombati (Guest) on May 29, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Peter Mugendi (Guest) on May 28, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Related Posts

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)